Mishe upige na majukumu utekeleze, kama unuona ualimu michosho achana nao ukapige Mishe.... Hakuna kazi isiokua na changamoto
Umenena vema dada,sio lazima uwe mwalimu kama huwezi kuwa responsible.Acha ukafanye kitu kingine unachohisi kina heshima na maslahi
Magumashi ambao hawajapoteza muda wa kusoma utawajua tu na ndio wanachangia kukwamisha juhudi za walimu wengine,mtu hulipwi nauli ya likizo,hakuna posho,scale ya mshahara ndogo,hupandi daraja,unastaafu na daraja la ajira,kazi ngumu ndio unafikiriwa mfano sensa,nk,,kweli adui wa mwalimu ni mwalimu ni shida
mkuu nimekuekewa sanaaaaaaa!!!nimefuatilia huu mjadala, nimeelewa kama ifuatavyo: wanaotetea walimu wawe na moyo wa wito ni wanawake km id zao zinavyoonesha sbb wao hawabebi majukumu ya kifamilia kwa 100% sbb mume yupo hivyo kale kamshahara kake kaambiwa atumie kwenye cosmetics na viwalo vyake vya kujia kazini(shuleni),mfano km evelyn salt et al. wale majemedali km mm huwezi kuniambia ualimu wito ikiwa nina familia tatu zinanitazama i.e familia yangu, ukweni na kwa wazazi walionilea!! Hivyo walimu wale wenye kujitambua km mkuu ipululu, adam gela, n.k tusibishane na walimu wasiojitambua, wapo kwa ajili ya kutumikia tumbo, cosmetics, pamba na vingine km hivyo. TUPIGE MISHE NA MAMBO YAENDE KWENYE MSTALI!!
nimefuatilia huu mjadala, nimeelewa kama ifuatavyo: wanaotetea walimu wawe na moyo wa wito ni wanawake km id zao zinavyoonesha sbb wao hawabebi majukumu ya kifamilia kwa 100% sbb mume yupo hivyo kale kamshahara kake kaambiwa atumie kwenye cosmetics na viwalo vyake vya kujia kazini(shuleni),mfano km evelyn salt et al. wale majemedali km mm huwezi kuniambia ualimu wito ikiwa nina familia tatu zinanitazama i.e familia yangu, ukweni na kwa wazazi walionilea!! Hivyo walimu wale wenye kujitambua km mkuu ipululu, adam gela, n.k tusibishane na walimu wasiojitambua, wapo kwa ajili ya kutumikia tumbo, cosmetics, pamba na vingine km hivyo. TUPIGE MISHE NA MAMBO YAENDE KWENYE MSTALI!!
kuna umuhimu wa kumpeleka mwalimu bungeni akapiganie haki za walimu
Walimu kudai maslahi mazuri ni haki yao.
Mimi Mhandisi, kazi yangu ya msingi ni kufanya design kwenye building services, pamoja na kusimamia installation. Lakini nafanya design na kuandaa BOQ, naandaa drawings (kumbuka hii kazi ya draftman), naandaa tender documents na kubind, naenda site kufanya inspection na usimamizi wa kazi, naandaa contract documents na mengine mengi tu. Kwahiyo hakuna sababu za kulialia. Cha msingi hata hao wabunge wapunguziwe hayo malipo mengi mengi. HAPA KAZI TU!
SOLIDARITY FOREVER kauli mbiu iliyokosa uhalisia.Mgomo ukitangazwa,walimu haohao wanauharibu kwa uoga.Refer to Madam Mary Masambuka wa filamu kali ya Sarafina ili morale ipatikane.
Mgomo wa walimu Tz hii utawezekana baadae sana tukibaki walimu pure, wale wanaotumia vyeti vya watu wakiwa wameshaishia ila for now sidhani....kuna mwalimu mmoja ni mkuu wa shule hukoo bush nilipoanziaga kazi yule mkuu hata form four hana sasa huyo ukimwambia kugoma si unatafuta ugomvi teh
Nyumba iliyogawanyika haiwezi kusimama.