Walimu wanavyoibiwa na CWT & PSPF

Walimu wanavyoibiwa na CWT & PSPF

Ok ni kwamba CWT kama kinavyojiita ni chama cha waalimu tukidhani ni cha kutetea haki za waalimu sio kweli maana ndio wanyonyaji wakuu wa waalimu.

Wamejining'iniza kwenye salary zetu kama mifuko mingine ya pension, bima ya afya,loan board ambapo hii mingine angalau tunajua ni jinsi gani tunafaidika nayo...kwa mfano tu pension PSPF wanakata 5% ya mshahara, na hii hela tunajua wazi ni mchango wa mafao ya uzeeni. Sasa hawa cwt wanakata 2% ya mshahara wa mwalimu. Kwa mfano mwl anayelipwa 720 000/= analipa cwt sh 14 320/=, mwalimu 940 000/= anakatwa cwt 16 400/= kwa hiyo unavyozidi kupanda nao wanapanda...

Japo ni sheria kwamba kila wafanyakazi wana chama cha kutetea haki zao, cwt walio watetezi wa waalimu hakina machungu na waalimu waliokuwa walalamikaji wa siku nyingi lakini matokeo yake ni wao walio kwenye chama wananufaika na kujitajirisha kwa kuwanyonya waalimu,tukumbuke kuwa kundi la waalimu ndilo lenye wafanyakazi wengi kuliko wote.

Kwa mfano tu mimi shuleni kwangu tupo waalimu 40 na tumeanza kazi miaka ya majuzi makato yetu ni kwenye elf 16 400*40= 656,000 hii ni makato ya mwezi mmoja.

Haiwezi kuingia akilini kwamba kila mwezi shuleni kwangu tunachangia hiyo hela kwa cwt ni vile tu wamepita juu kwa juu na hatuna amri juu ya hiyo hela..piga hesabu kwa mwaka, miaka n.k..

Au tufanye hesabu ya mtu mmoja japo ni ngumu maana mshahara unapanda kila mwaka na makato yao yanapanda pia. Lets take anayekatwa 25 kila mwezi..25 000×12=300 000 kwa mwaka mwalimu huyo mnyonge anaichangia laki 3.
300 000 × miaka 30 = 9 000 000.
Kwa hiyo mwalimu aliyefanya kazi miaka 30 anachangia 9m na zaidi kwa sabau mshahara unapanda maana kwa mfano mwl mwenye kulipwa 2.5m anakatwa elf50.
Sasa hawa ni watetezi wa wanyonge kweli?

Wakati wa uchaguzi wa uongozi wa cwt mtu anadiriki kukopa 20m ya kufanyia michongo ya kupata uongozi maana anajua akipata hiyo position atailipa hela na kuanza kula hela kiulaini ya waalimu wanyonge.

Makato ya cwt yamekuwa machungu sana kwa waalimu na ndio maana hatuitaki kwani hawana msaada wowote kwa waalimu zaidi ya kula jasho letu. NI BORA WANGEKATA FIXED RATE ya hela kwa mfano elfu5 tu kwa kila mwalimu kila mwezi kama raisi wetu atashindwa kutuondolea hili jipu kwenye salary slip yetu....

NIMESAHAU KITU...MWALIMU AKISTAAFU HAWA CWT WANAMZAWADIA MWALIMU MABATI 20 YALE YENYE THAMANI YA SH ELF17 NA KITAMBAA CHA SURUALI PINDI ANAPOSTAAFU BAADA YA KUMNYONYA MAMILIONI YA KUTOSHA
Kwani ni lazima kisheria kujiunga na CWT?
 
Kumbe wewe ni mwalimu? Si ulisema unaishi Kenya?

Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
Kwani kuishi Kenya ndio sababu ya kuacha kuzungumzia unyonyaji unaofanywa sehemu nyingine?
kwani ukizungumzia changamoto na unyonyaji dhidi ya waalimu ni lazima uwe mwalimu?
 
Kwani kuishi Kenya ndio sababu ya kuacha kuzungumzia unyonyaji unaofanywa sehemu nyingine?
kwani ukizungumzia changamoto na unyonyaji dhidi ya waalimu ni lazima uwe mwalimu?
Mkuu umeona akili za ccm zilivyo pumba,yaani FaizaFoxy anaishi kwa kukariri mnooo,
mtu kuzungumzia ufisadi kwenye sekta fulani basi lazima na wewe uwe muhusika,

Ritz nae ndio zeroooooo kabisa kichwani
 
Mkuu umeona akili za ccm zilivyo pumba,yaani FaizaFoxy anaishi kwa kukariri mnooo,
mtu kuzungumzia ufisadi kwenye sekta fulani basi lazima na wewe uwe muhusika,

Ritz nae ndio zeroooooo kabisa kichwani

Amma post namba moja hujaisoma vizuri amma huelewi unachokisoma.

Rudia kusoma post namba moja, para ya pili, sentensi ya kwanza.

Kisha njoo ueleze ulichokielewa.
 
Walimu wa Tanzania sio wa kuonea huruma....kwanza ni wajinga sanaaa ....hawajui kudai haki zao.....
 
Walimu wenyew hawajitambui,wanapaswa kuungana na kujadil hlo suala bt wao kila cku ni kulia lia kuhuxu ugumu wa maisha
 
du nchi hii wasomi hawajitambui....sasa walimu wanashindwaje kuvunja hicho chama na kuunda kingine..

note Tanzania ni nchi ya kwanza duniani kwa unafiki.

Ndomana tunaongea sana vitendo sifuri


Umeliweka vizuri sana hili. Katika fani ambayo ukombozi wao unategemea kudra za Mungu labda miaka 1000 ijayo, ni walimu wa Tanzania. Hawana umoja ni sawa na nyumbu wa Serengeti. Kulalamika tu lakini hakuna hatua wanazochukua.

Matatizo ya waalimu yanaanzia kwenye ngazi ya chini kabisa mashuleni, walimu wakuu na wakuu wa shule wamegeuka miungu watu na kwa utawala huu nihatari zaidi kwa mwalimu kwani mkuu wa shule anaweza kumuandikia taarifa mbaya kwa Afisa Elimu ikawa kesi na matatizo makubwa.

Maafisa elimu wengi ni vilaza na wanawaogopa sana walimu wanaojielewa hivyo ukionekana unaleta ujuaji wa kila siku utatengenezewa kesi zisizoisha kila siku na faili litaharibika, wakati huo DED na DC hawatakutetea hata kidogo utabigwa ban la nguvu ukitoa mguu kituo cha kazi taarifa ilishafika hadi kwa waziri mkuu kuwa kuna mwalimu ameenda sokoni bila kuaga, na mshahara utafungwa muda huohuo.

Waalimu ndio wanaocheleweshewa hata kupanda madaraja ya mishahara na wengine wanakuwa nyuma hata kama ulianza mwaka mmoja na wengine utajikuta daraja lako liko nyuma na ukienda kwa afisa utumishi utaambulia matusi na kejeli zakijinga sana, utaonekana kama hukustahili hata kuitwa mwalimu kwani walimu wenzio wanamatatizo kama yako na wametulia ila wewe unaleta kimbelembele. Walimu wengi ni WANAFIKI wakubwa sana, kupikiana majungu kwa wakuu wa shule na maafisa elimu na wakurugenzi. utakuta mwalimu hampendi mwenzie kisa anapiga sana ngeli kuliko yeye. sasa huyu atakubali kuweka kunji la pamoja???

TAHOSSA ndio liumoja lingine lakijinga sanab katika kada ya ualimu. mm niliwahi kuwauliza hivi nyinyi tahossa mnashindwa kuwa na hata stationary yakuchapa na kutoa kopi mitihani yenu wenyewe kila siku mnapeleka tenda kwa watu binafsi, nikaja kustuka zile stationaries nizao wenyewe. TAHOSSA wakikutana wanaongelea walimu wakorofi katika mashule yao na jinsi yakuwadhibiti na wanapeleka mapendekezo kwa maafisa elimu kuwa umetuletea walimu wajorofi sana, mwalimu anakuwa yupo chini ya uangalizi wamajungu na fitna bila kujua. basi ni kero kila kukicha.

Mimi niliacha ualimu baada yakuvimbiana na kiafisa elimu kimoja hivi huko maporini nikamwambia kwaheri, hakuamini nikarudi nikafunga virago vyangu safari hadi kesho huu i mwaka wa 5 sasa. walimu msiwe wanyonge hao jamaa wanaowaendesha mkipata nafasi mnakunja ngumi, unamtoa meno 3 alafu unatafuta laki 5 za kesi.

Kuna kichama kingine chakipumbavu sana kinaitwa TSD, yaaaaaaani duuuuuuuuu walimu ni SHIIIIIIIIIIIIIIDA, ukiwaona hawa TSD ni vibabu flani vikoloni kishenzi yaani vimekaa pale kusubiri mwalimu ateleze apewe barua za nidhamu sijui ujinga gani, hawa wote ni wakoloni wanao waandama walimu na walimu hawana pakutokea masikini ya MUNGU. wamekuwa wanyonge sana, mara mkuu washule, akigeuka huku anakuta cwt, hajakaa sawa MEK, hajapinduka upande mwingine tsd, huku kuna madiwani nao wanawaandama walimu hatari. WALIMU SIO KAZI, UKITAKA UMASIKINI JIINGIZE HUKO
 
[QUOTi, post: 15555850, member: 269031"]Cwt ni genge la wahuni wanaokula kiulaini kupitia shida za walimu,mara 100 wangekua wanatatua shida za walimu,cwt ndani ya mwaka mzma ndani ya wilaya 1 hutatua shida ya mwalimu 1 au wawl;wanatatua matatzo kwa sampling;hela wanayochota ni kubwa kulinganisha na huduma anayopata mwl toka kwao;walimu tupambane kuanzisha vyama vya kututetea viwe vingi,Inawezekana Tukishikama..[/QUOTE]
kweli umesema.mimi mwenyewe ni mwl sasa ni mwaka wakumi nababuliwa nahawa jamaa.cwt nizaidi ya bomu la atomic.chama hiki sio cha hiari nikulazimishana tu
 
Mkuu dangadunguri hao maafisa elimu wengi wala hawana hata ngazi ya degree,pia wakijua wewe ni ukawa watakuandama sana

Kaka ni hatari sana, Afisa Elimu anakasirika akiona walimu wamejaa kwenye ofisi yake utafikiri nyumbani kwake. Sisi wakati tunaripoti walitukagua wakagundua kuwa walimu wenye shahada tulikuwa wengi kuliko wenye stashahada, walisikika wanasema mwaka huu kazi tunayo. kumbe wao walitaka kuzipiga pesa zetu za kujikimu na garama za usafiri. na vichwa vingi pale vilitoka huu ukanda wa pwani maneno kama chiriku na wengi walitoka vyuo vilivyozoea vurugu na makunji. Jamaa ili kutupunguza nguvu wakatupangia vituo harakaharaka.

Tugawana namba za simu tukawa tunawasiliana ni siku gani yakukutana kwa afsa elimu atoe pesa zetu. ilichukua wiki 2 kila siku tunapanda kwenda kwake na kumbuka kuna wengine walipangiwa vituo 120km kutoka halmashauri, wao walichukua vyumba gest ikawa hakuliki wala hakukaliki.

Tukazama kuzitafuta namba za waziri mkuu, tukamtwangia tukampa makavu kila kitu kuhusu pesa zetu, hadi kufika saa nane list ya walimu wote tunaaodai na pesa zetu ilikuwa tayari, watu waliondoka na 1.5m na wengine 2m. Jamaa anagawa hundi amevimba kama kifutu. tukabeba mpunga wetu tukatambaa.

Hatari zaidi ya kada hii walimu wanaoajiriwa sasa ni vitoto kabisa yani havijitambui wakifika site ni mademu na ulabu. na vyuo wanavyotoka ndio shida kabisa hakuna kugoma wala kusononeka, hajui hata aanzie wapi hata kupiga mbinja/minja hajui.
 
Nafikiri wanaweza kuamua na kuwa na chama vya kikanda au mkoa kinachotakiwa ni idadi ya wanachama kwa ajili ya kuanzisha chama kingine. Haya aamkeni kuanzia huko mikoani mvunje hili genge la wahuni!
 
Ualimu ni wito jamani

Hayo mengine ni kama anasa tu
 
Ok ni kwamba CWT kama kinavyojiita ni chama cha waalimu tukidhani ni cha kutetea haki za waalimu sio kweli maana ndio wanyonyaji wakuu wa waalimu.

Wamejining'iniza kwenye salary zetu kama mifuko mingine ya pension, bima ya afya,loan board ambapo hii mingine angalau tunajua ni jinsi gani tunafaidika nayo...kwa mfano tu pension PSPF wanakata 5% ya mshahara, na hii hela tunajua wazi ni mchango wa mafao ya uzeeni. Sasa hawa cwt wanakata 2% ya mshahara wa mwalimu. Kwa mfano mwl anayelipwa 720 000/= analipa cwt sh 14 320/=, mwalimu 940 000/= anakatwa cwt 16 400/= kwa hiyo unavyozidi kupanda nao wanapanda...

Japo ni sheria kwamba kila wafanyakazi wana chama cha kutetea haki zao, cwt walio watetezi wa waalimu hakina machungu na waalimu waliokuwa walalamikaji wa siku nyingi lakini matokeo yake ni wao walio kwenye chama wananufaika na kujitajirisha kwa kuwanyonya waalimu,tukumbuke kuwa kundi la waalimu ndilo lenye wafanyakazi wengi kuliko wote.

Kwa mfano tu mimi shuleni kwangu tupo waalimu 40 na tumeanza kazi miaka ya majuzi makato yetu ni kwenye elf 16 400*40= 656,000 hii ni makato ya mwezi mmoja.

Haiwezi kuingia akilini kwamba kila mwezi shuleni kwangu tunachangia hiyo hela kwa cwt ni vile tu wamepita juu kwa juu na hatuna amri juu ya hiyo hela..piga hesabu kwa mwaka, miaka n.k..

Au tufanye hesabu ya mtu mmoja japo ni ngumu maana mshahara unapanda kila mwaka na makato yao yanapanda pia. Lets take anayekatwa 25 kila mwezi..25 000×12=300 000 kwa mwaka mwalimu huyo mnyonge anaichangia laki 3.
300 000 × miaka 30 = 9 000 000.
Kwa hiyo mwalimu aliyefanya kazi miaka 30 anachangia 9m na zaidi kwa sabau mshahara unapanda maana kwa mfano mwl mwenye kulipwa 2.5m anakatwa elf50.
Sasa hawa ni watetezi wa wanyonge kweli?

Wakati wa uchaguzi wa uongozi wa cwt mtu anadiriki kukopa 20m ya kufanyia michongo ya kupata uongozi maana anajua akipata hiyo position atailipa hela na kuanza kula hela kiulaini ya waalimu wanyonge.

Makato ya cwt yamekuwa machungu sana kwa waalimu na ndio maana hatuitaki kwani hawana msaada wowote kwa waalimu zaidi ya kula jasho letu. NI BORA WANGEKATA FIXED RATE ya hela kwa mfano elfu5 tu kwa kila mwalimu kila mwezi kama raisi wetu atashindwa kutuondolea hili jipu kwenye salary slip yetu....

NIMESAHAU KITU...MWALIMU AKISTAAFU HAWA CWT WANAMZAWADIA MWALIMU MABATI 20 YALE YENYE THAMANI YA SH ELF17 NA KITAMBAA CHA SURUALI PINDI ANAPOSTAAFU BAADA YA KUMNYONYA MAMILIONI YA KUTOSHA
Kichwa cha Habari hakiendani na maudhui ya Habari yako,

Hukusema ni kwa jinsi gani PSPF inawanyonya walimu,

Aidha, kujiunga na Chama cha wafanyakazi sio lazma, ni hiyari, unaweza kuomba kujitoa na utatolewa.
 
Matatizo ya waalimu yanaanzia kwenye ngazi ya chini kabisa mashuleni, walimu wakuu na wakuu wa shule wamegeuka miungu watu na kwa utawala huu nihatari zaidi kwa mwalimu kwani mkuu wa shule anaweza kumuandikia taarifa mbaya kwa Afisa Elimu ikawa kesi na matatizo makubwa.

Maafisa elimu wengi ni vilaza na wanawaogopa sana walimu wanaojielewa hivyo ukionekana unaleta ujuaji wa kila siku utatengenezewa kesi zisizoisha kila siku na faili litaharibika, wakati huo DED na DC hawatakutetea hata kidogo utabigwa ban la nguvu ukitoa mguu kituo cha kazi taarifa ilishafika hadi kwa waziri mkuu kuwa kuna mwalimu ameenda sokoni bila kuaga, na mshahara utafungwa muda huohuo.

Waalimu ndio wanaocheleweshewa hata kupanda madaraja ya mishahara na wengine wanakuwa nyuma hata kama ulianza mwaka mmoja na wengine utajikuta daraja lako liko nyuma na ukienda kwa afisa utumishi utaambulia matusi na kejeli zakijinga sana, utaonekana kama hukustahili hata kuitwa mwalimu kwani walimu wenzio wanamatatizo kama yako na wametulia ila wewe unaleta kimbelembele. Walimu wengi ni WANAFIKI wakubwa sana, kupikiana majungu kwa wakuu wa shule na maafisa elimu na wakurugenzi. utakuta mwalimu hampendi mwenzie kisa anapiga sana ngeli kuliko yeye. sasa huyu atakubali kuweka kunji la pamoja???

TAHOSSA ndio liumoja lingine lakijinga sanab katika kada ya ualimu. mm niliwahi kuwauliza hivi nyinyi tahossa mnashindwa kuwa na hata stationary yakuchapa na kutoa kopi mitihani yenu wenyewe kila siku mnapeleka tenda kwa watu binafsi, nikaja kustuka zile stationaries nizao wenyewe. TAHOSSA wakikutana wanaongelea walimu wakorofi katika mashule yao na jinsi yakuwadhibiti na wanapeleka mapendekezo kwa maafisa elimu kuwa umetuletea walimu wajorofi sana, mwalimu anakuwa yupo chini ya uangalizi wamajungu na fitna bila kujua. basi ni kero kila kukicha.

Mimi niliacha ualimu baada yakuvimbiana na kiafisa elimu kimoja hivi huko maporini nikamwambia kwaheri, hakuamini nikarudi nikafunga virago vyangu safari hadi kesho huu i mwaka wa 5 sasa. walimu msiwe wanyonge hao jamaa wanaowaendesha mkipata nafasi mnakunja ngumi, unamtoa meno 3 alafu unatafuta laki 5 za kesi.

Kuna kichama kingine chakipumbavu sana kinaitwa TSD, yaaaaaaani duuuuuuuuu walimu ni SHIIIIIIIIIIIIIIDA, ukiwaona hawa TSD ni vibabu flani vikoloni kishenzi yaani vimekaa pale kusubiri mwalimu ateleze apewe barua za nidhamu sijui ujinga gani, hawa wote ni wakoloni wanao waandama walimu na walimu hawana pakutokea masikini ya MUNGU. wamekuwa wanyonge sana, mara mkuu washule, akigeuka huku anakuta cwt, hajakaa sawa MEK, hajapinduka upande mwingine tsd, huku kuna madiwani nao wanawaandama walimu hatari. WALIMU SIO KAZI, UKITAKA UMASIKINI JIINGIZE HUKO
walimu wakiacha majungu nakuchukiana wao kwa wao itasaidia.
 
Back
Top Bottom