falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,213
- 9,334
- Thread starter
- #21
Pole iende kwa walimu sio mimiPolen sana Mkuu
Pole iende kwa walimu sio mimiPolen sana Mkuu
Aisee umezungumza hoja nzuri sana lakin kina Barbarosa na Pasco watakupinga tuWalimu amkeni,mda ndio huu.hicho chama kipya kilichoanzishwa kifungue website ambacho kitawafanya walimu wengi kukifahamu kikiwa na taarifa muhimu kama katiba na jinsi ya kujiunga.Pia iwarahisishie walimu jinsi ya kujitoa cwt na kujiunga na hicho chama kipya,ili kazi ianze mara moja kutetea haki za walimu.Mshikamano daima!
Sisi wakenya huwa tunafanya mambo kwa uweredi mkubwa unlike tanzaniansHili nakuunga Mkono cwt kwa kweli hakina msaada kwa Mwalimu katika kudai haki zake zikiwemo kusoma. Eti viongozi wanasema kusoma sana kwa Mwalimu hakuna maana mwisho ni bachela tu zaidi ya hapo ni mapambo. Huwa najiuliza hela hii ya walimu nani anaudhibiti na taarifa yake mbona huwa haitoki. Nadhani huko kuna ubadhirifu wa kutosha. Mwalimu House iliyopo pale Ilala boma mapato yake yanamfaidishe mwanachama? Au in sifa tu kuwa jengo kama hilo! Ndo maana chama hakina nguvu ya kutetea maslahi ya walimu hakina pesa ya kuwahudumia wanachama endapo watakuwa mathalani mgomoni ambopo ni kinyume kabisa na nchini Kenya.
Haitawezekana kusukwa upya kwakuwa viongozi wake wengi ni mapapeti wa ccmwagome tu mpaka hiyo cwt isukwe upya...ni ujinga kitu kile kile kinakutesa kila mwaka lakini huchukui hatua
hiyo hela angetosha walau kuanzisha benk yao wenyewe wakakopeshana kwa riba ya ndogo ya 3% .ile ghorofa pale ilala ya mwlim hause hela huwa inaendaga wapi ?Hiyo 2% inayokatwa kwenda chama cha walimu, mwalimu akistaafu harudishiwi?
Naona huko CWT kuna ulaji wa hali ya juu, CAG atembelee huko akaone maajabu ya wanaojiita wako kutetea waalimu
Mahakimu wenyewe wa ccm,unategemea nini!pole yao walimuHiki chama hakifai jipangeni mkafungue mashtaka mahakamani
kuanzishwe vyama vingi vya walimu walimu wachague chenye maslahi kwao,enzi zile kulikuwa na mifuko ya jamii miwili tu PPF na NSSF,sasa iko zaidi ya kumi,kuwe na chama cha walimu wa shule za msingi ,skondary,private,government etc na mwanachama aruhusiwe kuchagua mwenyewe chama kipi kinamfaa
mwl analipwa 720 000/= , mwalimu analipwa 940, 000/=
Utajiondoaje wakati serikali ya ccm imeunda mifumo ya.kukubana endapo utajiondoakwanini msijiondoe kwenye hiyo cwt?
Ndio hivyo mkuu walimu wamegeuzwa kitukoki ukwel waalim wanapata shida nyingi ila hili la makato aseee ni shida, m nitoe mfano, kuna mwalim amekuwa akikatwa mshahara wake na anaishi kigoma vijijini, halafu kunajengo pale bugurun ilala linamnufaishaje hyo mwalim? na hicho chama kinatetea nn?
m naona hvyo vyama ni onyonyaji tu, kama hakuna uccm humo ndan basi serikal inahusika, wahurumien waalim, au basi kungekuwa na sheria kuwa hyo pesa iwarudie waalim, ni nyingi mno,
ifike sehem watu hili nalo liwe jipu, JF members plz waokoen waalm kwa kupinga hiki chama ni dude linalonyonya nguvu za waalim, naomba uanachama uwe kwa hiari..