Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 1,196
- 1,846
Si baada ya kupata ajira nzuri umeanza kuwadharau waliokusaidia ukafika hapo.Wapi nilipoonesha dharau mkuu
Si baada ya kupata ajira nzuri umeanza kuwadharau waliokusaidia ukafika hapo.Wapi nilipoonesha dharau mkuu
Duh kama kuna kaukweli hiv nimepanga kwa mwalimu mstaafu kuna vitu naviona.Kuna mwalimu mmoja mtu mzima ambaye kwa sasa ana miezi mitatu tangu astaafu alituambia kwamba ukisaini tu kufanya kazi ya ualimu utakuwa umejitakia mwenyewe umasikini wewe na kizazi chako
Walikuwa hawalipwi?Si baada ya kupata ajira nzuri umeanza kuwadharau waliokusaidia ukafika hapo.
Humu watu wengi hawajui kitu ni ushabiki tuUkiajiriwa kwenye wizara yeyote ambayo mishahara inatoka direct serikalini huoga njaa nikali sana sio walimu tuu Sasa sijui kwann 😂 😂 😂
Huyo mwalimu wako ana shidaDuh kama kuna kaukweli hiv nimepanga kwa mwalimu mstaafu kuna vitu naviona.
Wafanyakazi wengi mnaoishi nao ni walimu ndio maana mnawasema sanaWalimu wamezidi
Hakuna walimu waliokuwa wasafi?Wakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.
3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.
NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
We unaumwa nenda ukatibiwe, hao watakuwa walimu wa misukule ya kwenuWakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.
3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.
NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
Kitu usichokijua huko mtaani Kuna watu wengi Wana njaa wanatamani wapate kazi ya ualimu angalau mambo yaendeWakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.
3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.
NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
Tulia bwana mdogoWe unaumwa nenda ukatibiwe, hao watakuwa walimu wa misukule ya kwenu
Kwa hilo nawapongeza wako vizuriLakini pia ndio watu pekee ambao hawazeeki..!!
Hakika.Walimu wa Tanzania ni viumbe wapumbavu sijawai kuona ...matatizo yao mengi ni yakujitakia na kujitengenezea
Pole sana mwalimuWafanyakazi wengi mnaoishi nao ni walimu ndio maana mnawasema sana
ila serikalini kwa asilimia kubwa watumishi walio chini ya halmashauri Wana hali ngumu
Kweli mkuu huwezi amini.Hakuna walimu waliokuwa wasafi?
Wote walikuwa wanakula mihogo?
Mwalimu anashindwa kununua kitana cha 500? Anashindwa kunyoa 1000/1500?
Kuwa mkweli basi, walimu Wana njaa ila sio kwa kiasi hicho
Kabisa halmshaur nasikia Hali ni tightWafanyakazi wengi mnaoishi nao ni walimu ndio maana mnawasema sana
ila serikalini kwa asilimia kubwa watumishi walio chini ya halmashauri Wana hali ngumu
Ndo hivyo mkuu sema walimu wanafanywa kuwa wanyonge sana na of course Kuna wengine pia wamekubali kupokea hali ya unyongeScale za mshahara zinafanana kada nyingi. Hakuna mshahara wa Walimu pekee.