Walimu wana maisha magumu sana

Walimu wana maisha magumu sana

Sema baadhi ya walimu wasio na nidhamu kwenye mipango ya matumizi ya pesa ndio wenye hilo tatizo

Wako walimu kibao wana.magari binafsi na majumba hadi ya kupangisha na biashara na watoto wao husomesha English medium

Heshima kwenye matumizi ya fedha ndio kigezo kikuu kinachotofautisha hali walimu
Mikopo Bank NMB, NBC, CRDB ukienda ukisema tu mimi Mwalimu unaelezwa utaratibu wa kukopa haraka sana tena pesa nyingi tu
 
Sema baadhi ya walimu wasio na nidhamu kwenye mipango ya matumizi ya pesa ndio wenye hilo tatizo

Wako walimu kibao wana.magari binafsi na majumba hadi ya kupangisha na biashara na watoto wao husomesha English medium

Heshima kwenye matumizi ya fedha ndio kigezo kikuu kinachotofautisha hali walimu
Kweli kabisa Nidhamu ya pesa inahitajika sana katika maisha
 
Wakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.

3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.

NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
Hao ni walimu wajinga uliowaona na nafikiri ni wale wa UPE na form 4! Sisi tuna bachelor na masters huo ujinga hatuna! Be more serious!
 
Ukiwa kama product iliyopita mikononi mwao umefanya nini kuwashukuru?

Umewahi kukutana na mmoja wao ukampa hata 5K ya kuboresha maisha yake ikiwa yeye alikupa materials unazozitumia leo kupata kipato hata umefahamu utofauti wa ugumu wa maisha yako na yake?
 
Kuna mwalimu mmoja namjua anatake home ya Laki nane na Elfu themanini
Ana free kota vyumba vitatu
Ana free shamba la mpunga heka 5
Free water na umeme
Bima ya familia yake
Yupo shule binafsi lkn ana madeni lukuki

Alafu wenzake wanatake home ya Laki saba lkn mambo yao supa
 
Hao ni walimu wajinga uliowaona na nafikiri ni wale wa UPE na form 4! Sisi tuna bachelor na masters huo ujinga hatuna! Be more serious!
Nikisema wewe na masters sijui degree yako ndiyo mjinga nitakuwa nakosea?kina nani hao waliokufundisha hata leo una elimu hiyo then unawaita wajinga?kama siyo wao ungekuwa ulivyo leo?

Kwa elimu hiyo nisingetegemea kusoma ulichoandika hapo juu.
 
Halafu haohao ndiyo wabeba kura za wizi za Ccm. Kumbuka Ccm siku zote huwa inawatumia watu wasiojielewa kujipatia uongozi na kutumbua pesa za nchi na wakifanikisha kuiba hizo kura wanatelekezwa.

Acha tu waishi maisha ya mikopo na kubet sababu wanaikumbatia mno Ccm. Kiukweli kada ya walimu imefulia mpaka inatia huruma, wapo wachache wanaojitambua wana maisha mazuri kuliko hata wafanyakazi wengine ila ni wachache sana.
 
Sema baadhi ya walimu wasio na nidhamu kwenye mipango ya matumizi ya pesa ndio wenye hilo tatizo

Wako walimu kibao wana.magari binafsi na majumba hadi ya kupangisha na biashara na watoto wao husomesha English medium

Heshima kwenye matumizi ya fedha ndio kigezo kikuu kinachotofautisha hali walimu
Lakini mwalimu wa shule ya msingi kumkuta anagari itakuwa mkweche wa Carina,au ist iliyojichokea tofauti na hapo no.labda awe anabiashara nyingine lakini wenye akili hiyo ni wachache
 
Ni kweli wana maisha magumu lakini mada imekaa kimbeambea na uongo uongo, sijawahi kuona mwalimu akivaa nguo yenye kiraka, majobless mtaani wenyewe nguo zao hazina viraka vipi iwe kwa mwalimu?

Kuchana nywele inahusiana nini na umaskini? Kama hachani nywele huyo ni mchafu na haihusiani na umaskini
Mtu anayelipwa kuanzia laki 4 anashindwaje kununua kitana cha mia tano?

Nyingine ni tabia za mtu tu.
 
Lakini mwalimu wa shule ya msingi kumkuta anagari itakuwa mkweche wa Carina,au ist iliyojichokea tofauti na hapo no.labda awe anabiashara nyingine lakini wenye akili hiyo ni wachache
Sio kweli wako wanaokopa pesa benki na Saccos zao kununua magari mazuri tu
 
Halafu haohao ndiyo wabeba kura za wizi za Ccm. Kumbuka Ccm siku zote huwa inawatumia watu wasiojielewa kujipatia uongozi na kutumbua pesa za nchi na wakifanikisha kuiba hizo kura wanatelekezwa.

Acha tu waishi maisha ya mikopo na kubet sababu wanaikumbatia mno Ccm. Kiukweli kada ya walimu imefulia mpaka inatia huruma, wapo wachache wanaojitambua wana maisha mazuri kuliko hata wafanyakazi wengine ila ni wachache sana.
Mwambie ukweli huyu mjinga hajitambui, ccm wanawatumia hao walimu wasiojitambua kuiba Kura! Umeongea ukweli sana! Ananiambia ndio wamenifundisha! Jinga kabisa! Walijaza ujinga na hofu kuu eti tunaapizwa kulinda mapinduzi mpaka kufa na rushwa ni adui wa haki! Halafu zidumu fikra za mwenyekiti! Hata fikra za kipuuzi zidumu TU? Mimi nawafundisha watoto kujikomboa kifikra sio chuo kikuu sasa badala ya kuwa wasomi wenye kujielewa wamekuwa machawa!
 
Back
Top Bottom