Walimu wana maisha magumu sana

Walimu wana maisha magumu sana

Wakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.

3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.

NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
mshahara hawaongezwi na kila mchango wanawachangisha wao.
Hapo ndipo namwelewa Jesus aliposema aliye nacho ataongezewa na asiye kuwa nacho hata kile kidogo alichonacho kitachukuliwa.
 
Halafu haohao ndiyo wabeba kura za wizi za Ccm. Kumbuka Ccm siku zote huwa inawatumia watu wasiojielewa kujipatia uongozi na kutumbua pesa za nchi na wakifanikisha kuiba hizo kura wanatelekezwa.

Acha tu waishi maisha ya mikopo na kubet sababu wanaikumbatia mno Ccm. Kiukweli kada ya walimu imefulia mpaka inatia huruma, wapo wachache wanaojitambua wana maisha mazuri kuliko hata wafanyakazi wengine ila ni wachache sana.
Ndo wanaotumikaga kuiba kura.
 
Kuna mwalimu mmoja mtu mzima ambaye kwa sasa ana miezi mitatu tangu astaafu alituambia kwamba ukisaini tu kufanya kazi ya ualimu utakuwa umejitakia mwenyewe umasikini wewe na kizazi chako
 
Wakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.

3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.

NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
Walimu wote waliishi hivyo ? Maana walimu wengi mijini ni wanawake na wengine wameewa na maafisa wa hadhi za juu, wafanyabiashara nk mfano mke wa JPM, Kikwete na wengine webgi sana.
Bila shaka wewe ulisoma kijijini ndani sana smbako hakuna wenye hadhi hata wana kijiji ni choka mbaya.
 
Walimu wote waliishi hivyo ? Maana walimu wengi mijini ni wanawake na wengine wameewa na maafisa wa hadhi za juu, wafanyabiashara nk mfano mke wa JPM, Kikwete na wengine webgi sana.
Bila shaka wewe ulisoma kijijini ndani sana smbako hakuna wenye hadhi hata wana kijiji ni choka mbaya.
Hata kama ni kijijini imeondoa ukweli kuwa walimu ni choka mbaya.
 
Wakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.

3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.

NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
Wapumbavu wengi Sana humu, wanadharau waalimu halafu watu wengi wamepanga kwenye nyumba za waalimu.
 
Mimi ni mwalimu,watu wanatudharau sana japo nipo kijijini 80% ya watu hawatufikii maisha 20% ndo wanatuzidi mbali maisha ila mie nnaishi kwangu means nimejenga nina kipikipik changu cha kunirahisishia safari za hapa na pale but watu bado watu wanakudharau ingawa umewazidi vingi hata wanaolala kwenye nyumba za nyasi wanakudharau tu sijui nini tatizo,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Post yako haijakamilika kiongozi,umesema walimu wana shida ulizozitaja ukilinganisha na kina nani? Sample size yako ni ngapi kati ya walimu wote nchini ndiyo wanahizo sifa.
Kusema walimu wanamaisha magumu kuliko jobless siyo kweli. Walimu wana maisha mazuri na yakati.
Halafu pia kupata muda wa kujumuisha na kuiponda kada nzima watu wanaweza kutafakari wewe ni mtu wa aina gani. Hauwezi kuta mtu mwenye maisha ya juu anatoa kauli mbaya kwa mtu anayeona anamaisha ya chini tena hadharani,ni wale ambao hawajielewi.
 
Ni walimu wa shule gani na mkoa gani hao hawajielewi?

Mimi hapa namiliki trekta lakununua cash.
Namiliki bajaji na nina miliki ng'ombe na mbuzi pia wengi tu.
Nimelima zaidi ya ekar 40 za ufuta na alizeti.

Usiwachafue walimu wanapiga kazi mbali mbali za kiuchumi na pia ndo wamekutoa tongotongo
Sio wewe pekee mkuu,binafsi asilimia ya walimu niliowaona wana maisha mazuri ni weng kuliko hoehae,na hoehae wengi utakuta ni wale walimu walevi labda au malaya..Ila walimu wengi naona wana matrekta,mashine za kusaga,maduka,vibanda vya tigopesa nk sijajua umaskin unatokea wapi
 
Sio wewe pekee mkuu,binafsi asilimia ya walimu niliowaona wana maisha mazuri ni weng kuliko hoehae,na hoehae wengi utakuta ni wale walimu walevi labda au malaya..Ila walimu wengi naona wana matrekta,mashine za kusaga,maduka,vibanda vya tigopesa nk sijajua umaskin unatokea wap
Trekta ni milioni 45 Hadi hamsini likiwa limekamilika Kila kitu.mwalimu wa shule ya msingi analipwa laki Tano au saba bila marupurupu yeyote.hata ukisema akope atakopa milioni 15au 20 labda anunue trekta mkweche ambao Kila mara matengenezo.Katika walimu miatano wa shule ya msingi anaweza kupatikana mmoja ambaye amenunua trekta
 
Wakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.

3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.

NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
Walimu wa wapi huko?
 
Wakati nasoma niliona haya kwa walimu yanayohuzunisha.
1. Kushindia mihogo ya 500 na mapera kuanzia asubuhi hadi jioni ili
kubana matumizi.
2. Kuvaa nguo zilezile kila siku hadi zinapauka.

3.Madeni mtaani na benki.
4.Kuvizia chakula cha wanafunzi wa bweni ili siku ipite.
5.Kuwa wachafu nywele walikuwa hawachani,soksi zimetoboka, viatu vimetoboka, nguo zenye viraka lukuki.

NB: Serikali iwahurumie walimu kwa kuwaongezea mshahara kazi wanayofanya ni kubwa.
Mkuu Binadamu tunaishi kulingana na Mazingira kuna kipindi mazingira yanakufanya uishi hivyo, Walimu uliowasema hapa ukiwaleta kwenye Mjin mkubwq Kama Dar watabadilika awata vaa kama walipo sasa hivi.
 
Back
Top Bottom