jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 5,344
- 7,116
Mkuu fafanua kidogo hapo kwenye nidhamu ya pesa kwasababu walimu wametajwa na mdau kwamba awatumii pesa kwenye Matumizi yasiokua na tija, labda ingekua walimu wanaonga sana walevi ndiyo tungesema wana nidhamu mbaya ya fedha, kama Mtu anunui nguo mara kwa mara na viatu na simu, na anaishi kwenye Nyumba ya gharama ya chini mtu kama huyo anakua hana nidhamu na pesa?Haijalishi unafanya kazi gani nidhamu ya pesa ndiyo ndiyo itakayofanya uishi maisha bora.