Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,594
Hiyo laki 5 bado sana kwa maisha ya sasa hivi! Badala mpiganie maslahi yenu mnakuwa "Defensive!" Nina wadogo zangu walimu, hivyo najua nachozungumzia ..Tsh565,000 ndio wanabaki nayo,sasa kwani hujui kuwa walimu wa sekondari wana degree.
Na wa msingi ni Tsh419,000 hivyo bado umepotosha hapa.
Pia msingi kuna walimu wengi wana degree.
Mbona askari wanatoa vipigo na mnakuwa kimya.
Afu inachukuliwa poaHII KAZI BORA MUACHE KAMA MWALIMU ANAPGWA HADI VIBOKO NA WAKUU WA WILAYA
Tatizo mwanzo umekuwa muongo wakati hujui,inatosha sana kwa mwalimu aliyejitambua na kutumia muda wake wote kufanya mambo yake na shuleni kwenda kama ushahidi.Hiyo laki 5 bado sana kwa maisha ya sasa hivi! Badala mpiganie maslahi yenu mnakuwa "Defensive!" Nina wadogo zangu walimu, hivyo najua nachozungumzia ..
Umeona watu hawajui.Kazi ya mwalimu ni ngumu, na aifanya kwa ari japo changamoto zinawapata kutoka kona zone za wahusika ; wizara, wanafunzi, wazazi na jamii kwa ujumla. Tunahitaji kuwa na waalimu pamoja.
Ulishasema mwalimu. Hivi hujiulizi unamfundisha nn mwanafunzi ambaye ni mwalimu wa kesho?nikiwa kama mwalimu mwanafunzi wa UDSM roho inaniuma pale mwalimu anapojulikana kafanya kosa lakini apewi nafasi ya kujitetea kwa nini kafanya kosa na anahukumiwa moja kwa moja au kushushwa cheo na selikali LAKINI mualifu sugu tena muuaji ameua au amezulu watu eti wanasema uchunguzi unaendelea wakati inaelewka kabisa na pia anapewa mda wa kujitetea lakini mwalimu hapewi badala yake inapigwa simu tu kwamba awajibishwe...kwa nin na waalifu sugu km SCMPN mpaka sasa wanamuangalia tu wakati walimu menzetu wameachishwa chuo na wengne kufukuzwa kazi......ROHO INANIUMA SANA WALIMU WENZANGU...
Kwa hapa Tanzania wanafunzi wapigwe tu maana hakuna nanma.Mwalimu ni mlezi wa mwanafunzi akiwa shuleni mbali ya nyumbani. Na anapofanya makosa anapaswa kuadhibiwa kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizopo ambazo ziko wazi ktk shule zote nchi nzima .
Lakini walimu kwa frustrations zao wamekuwa wanawapiga mateke, ngumu, na makofi hadi kuwashambulia mithili ya kuadhibu jambazi.
Huu si ubinadamu na inatia huzuni, hasira na simanzi kwa mzazi anayeangalia picha ya video wakati mtoto wake akishambuliwa badala ya adhabu iliyoainishwa kisheria
.
Hata yule ambaye mtoto wake amekula mbata za kutosha lingetokea kwa mwingine angenena kama wewe.Sio kwa mtoto wangu!!!
Hata yule ambaye mtoto wake amekula mbata za kutosha lingetokea kwa mwingine angenena kama wewe.
Atapigwa sana na hutajua.
Sasa watapigwa sana bila ushahidi kupatikana.Ulishasema mwalimu. Hivi hujiulizi unamfundisha nn mwanafunzi ambaye ni mwalimu wa kesho?
Walimu lazima mshughurikiwe ili mjue kuwa ualimu ni kazi ya wito na sio usela mnaotaka kutuletea.
Afu eti bado mwanafunzi akifeli mwalimu alaumiwe.......jamanii??Fundisha lakini usiangaike na mtoto wa mtu acha apambane na wazazi wake!..mtoto si wako unamrekebisha bdae unageuziwa kibao ya nini?acheni kila mzazi apambane na mtoto wake atajijua mwenyewe.wazazi wenyewe ndio hawa wanashabikia ujinga hamna kitu ni hewa tu!..