Honorable GPA
Senior Member
- Mar 31, 2019
- 149
- 223
Sijui kwanini yaani!
Jamani,Lol!
Ajira za mwaka jana(2019) tuliambiwa tusiombe kabisa! Mwisho ilikuwa walomaliza 2017!
Mwaka huu(2020) tuliambiwa tuombe! Ajira zimetoka lakini waloajiriwa wengi ni physics/mathematics na wachache sana wa masomo mengine!
Chuo chetu sidhani kama yupo ambaye hana physics au hesabu aliyeajiriwa! na vyuo vingine hali ndio hiyo!
Najiuliza ni kwanini sisi walimu wa 2018 tuna tengwa sana kwenye hizi ajira?
Ni vema serikali ituambie kuliko kuwa tunapoteza muda kila siku kuomba bila mafanikio!
Kama hatuitajiki pia tuambiwe! Lol
Jamani,Lol!
Ajira za mwaka jana(2019) tuliambiwa tusiombe kabisa! Mwisho ilikuwa walomaliza 2017!
Mwaka huu(2020) tuliambiwa tuombe! Ajira zimetoka lakini waloajiriwa wengi ni physics/mathematics na wachache sana wa masomo mengine!
Chuo chetu sidhani kama yupo ambaye hana physics au hesabu aliyeajiriwa! na vyuo vingine hali ndio hiyo!
Najiuliza ni kwanini sisi walimu wa 2018 tuna tengwa sana kwenye hizi ajira?
Ni vema serikali ituambie kuliko kuwa tunapoteza muda kila siku kuomba bila mafanikio!
Kama hatuitajiki pia tuambiwe! Lol