Walimu tafadhali soma na usipuuze

Walimu tafadhali soma na usipuuze

TUCTA+CWT=CCM

Sina mashaka kwamba hisabati za juu kabisa[advanced pure mathematics] ulipata A.

Uko vizuri,ulivyo derive hiyo integral hadi kufikia jibu umetisha..

Sina mashaka kwamba utakua mkufunzi wa hesabu vyuo vikubwa kabisa duniani kama MMU.
 
Sina uhakika kama kweli wewe ni mwalimu, labda ni mwalimu wa kuvuliwa chupi usiku manake hakuna mwalimu mwenye akili za kijinga kama wewe dunia hii, hivi wewe na hao unaowapigia kura ni nani mwenye vyanzo vingi vya mapato!! na bado husikii walalama bungeni kuhusu kuongezea posho?? halafu kwa taarifa yako mimi sio mjinga kama wewe na wala usifikirie na hako kamshahara kako kama unaweza kunifikia mm na hata uwe una mashamba ya mpunga huko kwenu itabidi usubiri sana mpaka kuja kufikia level zangu, ila nina uchungu sana na walimu kwasababu wao ndo walionifikisha hapa nilipo...badilika wewe mwalimu au ulipaka kaz kwa kutoa rushwa ya ngono!!!?

The higher the Supply the Lower the price(Value)..si mlisema hiyo kazi ni rahisi kuajiliwa?,..that is implicity cost.
 
Walimu wengi hawana vyeti kama wanavyo ni feki ndio maana ni waoga kukabiliana na serikali ya magamba isje wakakosa hata kidogo walichonacho.
 
nyani ni nyani tu! Hata afanyeje hawezi kuwa mbuzi,paka ni paka tu hawezi kuwa sungura, pole yako kima wewe ulie ajiriwa kwa kazi rasmi ya kuipamba ccm kwa kuvaa mavazi ya rangi tofauti tofauti, kwanza huna sifa za kuwa kwenye kundi lolote lile la wapenda haki.

-------- wewe mwenye tamaa ya mbwa kulala nje kutegemea pua.Siji chagadema ngoo tukana umalize matusi yote duniani,sishawishiwi na wajingawajinga kama wewe,CCM Oyee.
 
nyani ni nyani tu! Hata afanyeje hawezi kuwa mbuzi,paka ni paka tu hawezi kuwa sungura, pole yako kima wewe ulie ajiriwa kwa kazi rasmi ya kuipamba ccm kwa kuvaa mavazi ya rangi tofauti tofauti, kwanza huna sifa za kuwa kwenye kundi lolote lile la wapenda haki.

-------- wewe siji chagadema ng'oo tukana matusi yote mjinga wewe mwenye akili ya mbwa kulala nje kwa kutegemea pua,sishawishiwi na wajingawajinga kama wewe,unadhani naogopa matusi mimi??CCM Oyee.
 
-------- wewe mwenye tamaa ya mbwa kulala nje kutegemea pua.Siji chagadema ngoo tukana umalize matusi yote duniani,sishawishiwi na wajingawajinga kama wewe,CCM Oyee.

Halafu we mama, hii topic umeivalia njuga unatukana watu si mchezo. Sasa nimeanza kuamini watu wengi walio na upeo mdogo, waliofeli elimu na waliofeli maisha ndo walimu wa Tanzania. Mi naanza kuamini huko kwenu wapo watu (labda na we ni mmoja wao) wanaoamini mpaka leo Mkapa bado rais. Na kwasababu Nkapa katoka huko Nanyamba, basi nyi CCM oyee tu.
Inauma sana watoto wetu kufundishwa na watu wajinga wajinga kama wewe.
 
tatizo watu wengine wanafikiri walimu wote ni waoga,mimi siko hivyo wakitangaza mgomo mi huwa nagoma kweli, naninajua kudai haki yangu lakini kwa kufata taratibu,tunaendaje dodoma?au unakurupuka tu kituoni kwenda dodoma,walimu wenyewe tumejigawa walioko mikoa ya juu wameanzisha mitandao ya kampeni wengine hatujui,CWT ndo mtetezi wa walimu kinafanya nini mpaka leo muombe usafiri wa kutupeleka dodoma?acheni kukurupuka haki haidaiwi jf,Ccm haijatufanyia kitu lakini chama mbadala kiko wapi?ushuzi tupu.
 
Halafu we mama, hii topic umeivalia njuga unatukana watu si mchezo. Sasa nimeanza kuamini watu wengi walio na upeo mdogo, waliofeli elimu na waliofeli maisha ndo walimu wa Tanzania. Mi naanza kuamini huko kwenu wapo watu (labda na we ni mmoja wao) wanaoamini mpaka leo Mkapa bado rais. Na kwasababu Nkapa katoka huko Nanyamba, basi nyi CCM oyee tu.
Inauma sana watoto wetu kufundishwa na watu wajinga wajinga kama wewe.

halafu we baba ulitaka mtu anitukane nimsikilizie tu,,ye nani?ukiona mtu anamjibu mjinga ujue ye ni mjinga mara mbili.
 
Ni kweli kabisa.kuna mwalimu mwenzetu si wa ajira mpya hajapata mshahara wa Juni na Julai.amefuatilia eti akaambiwa walisahau kuandika akaunti namba.no uzembe wa aina gani huu.
Au kuna reasons behind.
 
Sabasaba mwaka gani? Enzi ya mwl Fadhili,Basha,Nyengedi,Nandonde,Mpepo huku Head Master Mwakalasya?? Tujuzane basi.
Mule mule mkuu nimemaliza 2003 na kina brigedia tewa,mandoa,napinda,manase big popa,enzi za kina mwalimu fadhili,chogogwe,nandonde,namchambe,mama majaliwa chini ya uongozi wa mwakalasya mfalme juha ha ha ha.
 
Mule mule mkuu nimemaliza na kina brigedia tewa,mandoa,napinda,manase big popa,enzi za kina fadhili,chogogwe,nandonde,namchambe,mama?ajaliwa chini ya uongozi wa mwakalasya mfalme juha ha ha ha.

Aha haahaaa naona ulinitangulia mwaka m1, Hamis Mpwago unampata??
 
halafu we baba ulitaka mtu anitukane nimsikilizie tu,,ye nani?ukiona mtu anamjibu mjinga ujue ye ni mjinga mara mbili.

aise we c bure una tatizo kwenye ubongo wako cjui hao watoto unafundishaje?au wanaiga nn kutoka kwako?ww c bure unawezekana mume wako ni mtendaji wakijiji chako unakofundishia,sbb hao watendaji kwnye vijiji vyenu vya ccm oyeee ni miungu watu.pole sna kwa ufinyo wa fikra.ccm oyeee
 
Aha haahaaa naona ulinitangulia mwaka m1, Hamis Mpwago unampata??
Namkumba sana tu,nyie ndio mmemaliza na kina imani kikuli kama sijakosea jina,kina abel musyani,yule binti wa mzee shaibu bashiru mzuri mzuri hivi yuko wapi siku hizi?
 
Namkumba sana tu,nyie ndio mmemaliza na kina imani kikuli kama sijakosea jina,kina abel musyani,yule binti wa mzee shaibu bashiru mzuri mzuri hivi yuko wapi siku hizi?

Ahaa Mpwago yuko Mtr anapatikana sana pale nyuma ya Chico Inn karibu na mahakama ya mwanzo iliyoharibiwa na vurugu, Huyo demu anaitwa Salma nasikia yuko Dsm, hao wengine sijafahamu waliko. Mi nimemaliza na kina Fanikio chijinga, Isa Husein, Christopher Mapunda, Siraji Nalikane,Haji Mtepa aka Pasha, Rehema Ally, Rahim, Mkhama charles, Prosper Eriyo, Mohamed Chitope kwa uchache wake ni hao.
 
odale yuko wapi namtafuta huyu jamaa,muba,munibu,timothy mbungani,rahim wako wapi hawa vijana?

Basi we ulinitangulia mvua 2 mbele,Hao jamaa ndo walikuwa mbele kwa mvua 1 mbele. Mandoa nilikutana nae wiki 2 zilizopita Mtr kwa sasa anasema anaishi Kibaha.
 
Back
Top Bottom