Walimu tafadhali soma na usipuuze

Walimu tafadhali soma na usipuuze

kuacha sio tija,dawa ni kuwaibia muda wao unapiga mishe zako,mimi sina shida nao nakomaa na ualimu na mambo yangu yanaenda kama kawaida,....kma una hitaji mbao(mti wa griveria) kwa bei ya jumla ni pm niko lushoto.

Hahahahaha huo ni wizi, unapolipwa kwa kazi usiofanya ni wizi
 
Kamaunauchungu kajifungue au nijenikuzalishe?Kufundisha tufundishe sisi uchungu upate wewe?kweli ushoga mbaya.Ngoma si yako waivalia kibwebwe,,,
Nina imani hata huo ualimu ulionao ulipata baada ya kuvuliwa chupi manake mtu aliyepambana kutafuta kazi kihalali hawezi kukubali kudhurumiwa haki yaki na watu fulani halafu akabaki anakenua meno tu!!
 
Usipopigania haki yako mwenyewe hakuna ambaye atahangaika na wewe. Ndugu walimu wenzangu hasa vijana maana wazee hawawezi kutuunga mkono wengi wao age yao ni 50 na kuendelea tgts zao ni e. Tukutane bungeni hapo tarehe 29 walimu wote vijana na cwt wadhamini magari ya usafiri kutoka wilayani tukadai haki zetu dom. Hii serikali inabeep kwetu na ndo maana imetoa mishahara kwa baadhi ya walimu. Kenya wameweza hata tz walimu vijana tunaweza tupiganie haki zetu bila kumsubiri mkoba, ccm wala cdm maana wanaelewa matatizo yetu miaka yote lakini hakuna anaeonesha kushitushwa. Shime cwt tulipieni mabasi kutoka kila pembe ya tz ili walimu vijana tukalete mabadiliko ktk hii nchi. Cwt kwa mwezi mnatuka hela walimu wote mamia ya mamilion ambayo mwal4mu hana hata chembe ya manufaa, onesheni ushirikiano wenu.

haki gani unayoidai?
 
Nina imani hata huo ualimu ulionao ulipata baada ya kuvuliwa chupi manake mtu aliyepambana kutafuta kazi kihalali hawezi kukubali kudhurumiwa haki yaki na watu fulani halafu akabaki anakenua meno tu!!

mi ni mamaako alinivua chupi babaako,ukitaka ujue kuwa wewe huna akili angalia comment za walimu humu,mwehu wewe unapiga kelele walimu wenyewe wametulia.
 
bungeni mkafanye nini?mi nashaur nenden wizaran bungen hamna mtu sasa hiv hakuna vikao pale
 
Usipopigania haki yako mwenyewe hakuna ambaye atahangaika na wewe. Ndugu walimu wenzangu hasa vijana maana wazee hawawezi kutuunga mkono wengi wao age yao ni 50 na kuendelea tgts zao ni e.

Tukutane bungeni hapo tarehe 29 walimu wote vijana na cwt wadhamini magari ya usafiri kutoka wilayani tukadai haki zetu dom. Hii serikali inabeep kwetu na ndo maana imetoa mishahara kwa baadhi ya walimu. Kenya wameweza hata tz walimu vijana tunaweza tupiganie haki zetu bila kumsubiri mkoba, ccm wala cdm maana wanaelewa matatizo yetu miaka yote lakini hakuna anaeonesha kushitushwa.

Shime cwt tulipieni mabasi kutoka kila pembe ya tz ili walimu vijana tukalete mabadiliko ktk hii nchi. Cwt kwa mwezi mnatuka hela walimu wote mamia ya mamilion ambayo mwal4mu hana hata chembe ya manufaa, onesheni ushirikiano wenu.

Kweli twendeni
 
katka watu nawachukia na sipendi hata kuwasikia ni CWT wapuuzi sana wapn pale kwajil ya kuisaidia serkal kuwnyonya walm
 
Hahahahaha huo ni wizi, unapolipwa kwa kazi usiofanya ni wizi

sasa tuta fanyaje mkuu? wao wanaiba kodi zetu sisi tuna waibia muda wao,anae lalamika na alalamike tu walimu wenyewe wakitangaziwa mgomo ndio wana kua wakwanza kuripoti kazini waki ongezewa vihela vidogo kweny mshahara wana lia lia,upuuzi mtupu.
 
katka watu nawachukia na sipendi hata kuwasikia ni CWT wapuuzi sana wapn pale kwajil ya kuisaidia serkal kuwnyonya walm

hawa CWT nime wakwepa na mpaka leo hawanikati na wakianza kunikata nawapeleka mahakamani kwani kisheria kujiunga na vyama vya wafanyakazi ni hiari ya mtumishi.
 
Acha upungufu wa akili,mawazo ya kijinga unayo wewe,mimi mwalimu sio muoga najiamini ukiona mtu analialia ujue hana chanzo kingine cha mapato,we unakaa duniani unategemea mshahara??nakura yangu CCM mwakani sijaona chama cha kukipigia kura zaidi ya CCM,usilete uhuni wa kila mtu apende unachopenda wewe,,we NANI??

nyani ni nyani tu! Hata afanyeje hawezi kuwa mbuzi,paka ni paka tu hawezi kuwa sungura, pole yako kima wewe ulie ajiriwa kwa kazi rasmi ya kuipamba ccm kwa kuvaa mavazi ya rangi tofauti tofauti, kwanza huna sifa za kuwa kwenye kundi lolote lile la wapenda haki.
 
Acha upungufu wa akili,mawazo ya kijinga unayo wewe,mimi mwalimu sio muoga najiamini ukiona mtu analialia ujue hana chanzo kingine cha mapato,we unakaa duniani unategemea mshahara??nakura yangu CCM mwakani sijaona chama cha kukipigia kura zaidi ya CCM,usilete uhuni wa kila mtu apende unachopenda wewe,,we NANI??

nyani ni nyani tu! Hata afanyeje hawezi kuwa mbuzi,paka ni paka tu hawezi kuwa sungura, pole yako kima wewe ulie ajiriwa kwa kazi rasmi ya kuipamba ccm kwa kuvaa mavazi ya rangi tofauti tofauti, kwanza huna sifa za kuwa kwenye kundi lolote lile la wapenda haki, wafaa zaidi ushirikiane na hao wala rushwa na waongo wenzio.
 
hawa CWT nime wakwepa na mpaka leo hawanikati na wakianza kunikata nawapeleka mahakamani kwani kisheria kujiunga na vyama vya wafanyakazi ni hiari ya mtumishi.

ni kweli kabisa,wanaokatwa nadhan wameridhia,ni makato gan hayo ambayo hayana hata marejesho
 
Walimu Tanzania watasubiri sana , maana badala ya kuigomea serikali wanaanza kugomeana wenye ( Disunited) Tanzania hatuna watu kama Steve Biko ( S.A) na hata walijitokeza wengi watakutisha tamaa, Ila tukumbuke kile tukitakacho Tanzania kipo mikononi mwetu ( Tanzania we want , we hold in our hands)
 
Back
Top Bottom