Walimu tafadhali soma na usipuuze

Walimu tafadhali soma na usipuuze

mkuu nimecheka kitu kimoja,anaedai haki hafanyi kama ww. We mwalim gani eti unaomba ulipiwe nauli tena ya kwenda dodoma?oh cwt tulipieni mabasi mh kwanini usitumie kidogo ulichonacho kutaftia haki yako? Manake cwt wasipoleta mabasi haki yako hudai tena? Hapo tu nshajua hujitambui kaa kimya tu

Ndo waoga wenyewe hao wanajishaua tu humu.
 
Usipopigania haki yako mwenyewe hakuna ambaye atahangaika na wewe. Ndugu walimu wenzangu hasa vijana maana wazee hawawezi kutuunga mkono wengi wao age yao ni 50 na kuendelea tgts zao ni e. Tukutane bungeni hapo tarehe 29 walimu wote vijana na cwt wadhamini magari ya usafiri kutoka wilayani tukadai haki zetu dom. Hii serikali inabeep kwetu na ndo maana imetoa mishahara kwa baadhi ya walimu. Kenya wameweza hata tz walimu vijana tunaweza tupiganie haki zetu bila kumsubiri mkoba, ccm wala cdm maana wanaelewa matatizo yetu miaka yote lakini hakuna anaeonesha kushitushwa. Shime cwt tulipieni mabasi kutoka kila pembe ya tz ili walimu vijana tukalete mabadiliko ktk hii nchi. Cwt kwa mwezi mnatuka hela walimu wote mamia ya mamilion ambayo mwal4mu hana hata chembe ya manufaa, onesheni ushirikiano wenu.

Yule kijana asiyekuwa na nywele anajua hili suala?

Au mlikurupuka kutangaza eti mtamuunga mkono kwenye nia yake!

Kazi kwenu walimu vijana!

 
Acha upungufu wa akili,mawazo ya kijinga unayo wewe,mimi mwalimu sio muoga najiamini ukiona mtu analialia ujue hana chanzo kingine cha mapato,we unakaa duniani unategemea mshahara??nakura yangu CCM mwakani sijaona chama cha kukipigia kura zaidi ya CCM,usilete uhuni wa kila mtu apende unachopenda wewe,,we NANI??
Sina uhakika kama kweli wewe ni mwalimu, labda ni mwalimu wa kuvuliwa chupi usiku manake hakuna mwalimu mwenye akili za kijinga kama wewe dunia hii, hivi wewe na hao unaowapigia kura ni nani mwenye vyanzo vingi vya mapato!! na bado husikii walalama bungeni kuhusu kuongezea posho?? halafu kwa taarifa yako mimi sio mjinga kama wewe na wala usifikirie na hako kamshahara kako kama unaweza kunifikia mm na hata uwe una mashamba ya mpunga huko kwenu itabidi usubiri sana mpaka kuja kufikia level zangu, ila nina uchungu sana na walimu kwasababu wao ndo walionifikisha hapa nilipo...badilika wewe mwalimu au ulipaka kaz kwa kutoa rushwa ya ngono!!!?
 
Sina uhakika kama kweli wewe ni mwalimu, labda ni mwalimu wa kuvuliwa chupi usiku manake hakuna mwalimu mwenye akili za kijinga kama wewe dunia hii, hivi wewe na hao unaowapigia kura ni nani mwenye vyanzo vingi vya mapato!! na bado husikii walalama bungeni kuhusu kuongezea posho?? halafu kwa taarifa yako mimi sio mjinga kama wewe na wala usifikirie na hako kamshahara kako kama unaweza kunifikia mm na hata uwe una mashamba ya mpunga huko kwenu itabidi usubiri sana mpaka kuja kufikia level zangu, ila nina uchungu sana na walimu kwasababu wao ndo walionifikisha hapa nilipo...badilika wewe mwalimu au ulipaka kaz kwa kutoa rushwa ya ngono!!!?
Huna hela wewe kibaka,mshahara wa mwlimu unakuhusu nini??acha kiherehere utapumuliwa,CCM juu.***** wewe.
 
We mjing.a mtoa mada. Serikali iko macho na wapu.uzi kama wewe mnaotaka kuleta chokochoko. tutakufuatilia mpaka tujue wewe ni nani na uko wapi tuje tukufinye finye kama chawa. men.de wewe.
 
Sina uhakika kama kweli wewe ni mwalimu, labda ni mwalimu wa kuvuliwa chupi usiku manake hakuna mwalimu mwenye akili za kijinga kama wewe dunia hii, hivi wewe na hao unaowapigia kura ni nani mwenye vyanzo vingi vya mapato!! na bado husikii walalama bungeni kuhusu kuongezea posho?? halafu kwa taarifa yako mimi sio mjinga kama wewe na wala usifikirie na hako kamshahara kako kama unaweza kunifikia mm na hata uwe una mashamba ya mpunga huko kwenu itabidi usubiri sana mpaka kuja kufikia level zangu, ila nina uchungu sana na walimu kwasababu wao ndo walionifikisha hapa nilipo...badilika wewe mwalimu au ulipaka kaz kwa kutoa rushwa ya ngono!!!?

Kamaunauchungu kajifungue au nijenikuzalishe?Kufundisha tufundishe sisi uchungu upate wewe?kweli ushoga mbaya.Ngoma si yako waivalia kibwebwe,,,
 
Mimi nilipokuwa mwanafunz niliwaonea huruma sana..ila nap wajiongeze kwan degree zao walipewa au walisoma? Amka mtanzania, ualimu no taaluma lazima ithaminiwe
 
Most of walimu ni majuha kabisa,wao ndyo mawakala kuu wa serikali kwenye uchaguzi mkuu na hao hao ndyo wanaorudisha serikali dhalimu dhaifu fisadi na nyonyaji madarakani,walimu hao hao siku ya chaguzi wanashndwa kumjumlisha hata tarakimu 3 wanachakachua kura ili mradi ccm ipite,leo tna wanalilia kw serikali yao hyo dhalimu inawanyonya,haya tukusaidiaje km unaweza ukapewa alfu50 kisa kukandamiza haki yako,ww mwalimu unatofauti gani na mwanakijiji anayekaa kijijini anahongwa pombe na tshrt?think big mwalimu
 
Hivi Si Ndio Nyie Walimu Mliotangaza Kumuunga Mkono Makamba. MAKAMBA NI CCM, MATATIZO YENU YAMETOKANA NA CCM, Hakika Nyie Walimu Aliyewaloga Alisha Kufa Angekuwa Mzima Angewaonea Huruma. Endeleeni Kulia Lia Uzuri Mnajua Chanzo Cha Matatizo Yenu. Duniani Kote Mabadiliko Yanaletwa Na Watu Wa Kipato Cha Kati Yaani Wafanyakazi. WALIMU WA NCHI HAMNA MNACHOKISIMAMIA WALA KUKIAMINI.
TUCTA+CWT=CCM
NO CURRUPTION NO CCM
 
Acha ualimu tu ndio dawa yake

kuacha sio tija,dawa ni kuwaibia muda wao unapiga mishe zako,mimi sina shida nao nakomaa na ualimu na mambo yangu yanaenda kama kawaida,....kma una hitaji mbao(mti wa griveria) kwa bei ya jumla ni pm niko lushoto.
 
Back
Top Bottom