Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,884
- 3,807
Mkuu uwe unaenda na wewe hata kupanga matokeo uone huo mtitiSiku zote huwa najiuliza kwa nini mnasahisha mitihani kwa pesa? Hilo ni jukumu lenu kulingana na taaluma yenu. Kwa hiyo wanajeshi au polisi wakitaka wasafishe bunduki nao wadai kulipwa?
Acheni ujinga fanyeni bure hilo ni jukumu lenu mnatakiwa kulipenda.