Walimu kuajiriwa nje ya taaluma yao mama

Walimu kuajiriwa nje ya taaluma yao mama

The next JPM

Member
Joined
Feb 22, 2023
Posts
22
Reaction score
46
Habari Wana Jf ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya,

Pasi na kupoteza muda niende kwenye lengo la Uzi huu.

Wana Jf Mimi naona ni Wakati sahihi sasa serikali itoe ruhusa kwa walimu waanze kuajiriwa kwenye nafasi zifuatazo;

@ ustawi wa Jamii
@ uafisa utendaji
@ idara ya nida na tasaf
Kiufup Kuna baadhi ya kazi walimu wanafit kikamilifu inje ya taaluma yao

Pia hizo fani nashauri zingefutwa kabisa na kuacha kutolewa kwenye vyuo hapa inchini, ili kutoa nafas Kwa walimu ku cover sehemu izo.
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Habari Wana Jf ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya,

Pasi na kupoteza muda niende kwenye lengo la Uzi huu.

Wana Jf Mimi naona ni Wakati sahihi sasa serikali itoe ruhusa kwa walimu waanze kuajiriwa kwenye nafasi zifuatazo;

@ ustawi wa Jamii
@ uafisa utendaji
@ idara ya nida na tasaf
Kiufup Kuna baadhi ya kazi walimu wanafit kikamilifu inje ya taaluma yao

Pia hizo fani nashauri zingefutwa kabisa na kuacha kutolewa kwenye vyuo hapa inchini, ili kutoa nafas Kwa walimu ku cover sehemu izo.

Ni Mimi KALOLI SELESTINO KALOLI, mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya ualimu sayansi mwaka wa pili CHUO KIKUU TEOFILO KISANJI
Nakufahamu kijana baada ya kuandika jina lako... kwenu kabisa ulipozaliwa na ulipokulia ni maeneo ya mpakani mwa Sinza na Ubungo... maeneo ya mitaa ya Shekilango maghorofani na mnaishi nyuma ya Rombo hotel pale kwa nyuma karibia na jengo la ubungo plaza. Ingawa hauishi pale tena na hata familia yako haipo pale lakini ndio kwenu tunapafahamu. Ulikuwa jijini Dar mwezi uliopita kwa ajili ya mambo binafsi na kazi kidogo.

Una gari aina ya VOLKSWAGEN TOUAREG mbili "2".... moja nyeusi, nyingine silva. Ni kijana mkimya, mtaratibu usiye na makuu na mwenye upendo na msaada kwa vijana wenzako. Huenda ni kwa sababu ya kazi yako ya kizalendo na mafunzo uliyopatiwa.

Anyways.... nafahamu mpaka kazi yako ni miongoni mwa watu maalum nchini. Wazo lako zuri sana! Ila si vyema kuanika jina lako ndugu.

Wazo zuri! LIMEFIKA 👍🏾
 
kitaalam haya mambo yabaki hivi yalivyo koz soko la dunia linataka hivo ila ushaur wangu kwa gvt ni kuboresha elimu na miundo mbinu ya taasisi za kujifunzia pamoja na kuboresha masoko ya ajira watu waishi kisasa hii itaongeza wigo wa ajira na kupunguza hii changamoto
 
shule nyingi za msingi zimejengwa miaka ya nyuma kipindi hicho uhitaji wetu kama taifa ukilinganisha na sasa ni tofauti na sasa kwa sababu ya mabadiliko katika kila nyanja teknolojia,muingiliano wa tamadun nk.swali je serikali ina mpango gani wa kuboresha mifumo ya miundo mbinu ambayo itasaidia kutoa ajira kwa wingi kwa watu wake. chukua mfano shule ya msingi kuwa na kindagtn ,day care, nursery katika roof moja ktk kila shule moja mind that kwa kufanya hivo tu unaongeza idadi ya ajira koz utaajiri walimu wengi zaidi lakin kufanya hayo yote inahitajika reform ya education curriculum
 
pia waalimu pia mtambue kuwa kuwa mwalimu sio kufundisha tu darasani unaweza ukawa unaandika notes nzuri au vitabu ukaviuza huko mtandaoni.
tatizo la ajira pia linalingana na wasomi wenyewe kozi huwezi somea kitu ambacho hujachunguza kuwa utapata fursa ngapi kwa kuwa na hio taaluma yako hilo nalo ni tatizo linafanya vijana tunaumia kwa unemployment kila msomi inabidi a utilize effective resource ulio nayo ambayo ni taaluma yako.Si sawa sana kwamba waalimu wote tupate ridhki kwa kuingia darasani.
 
wizara ya elimu pia ipo nyuma sana ukifikiria kwa undani hupati jibu wizara ya elimu haina hata research beurau ya kufanya watu wengine wenye taaluma hii ya ualimu wajikite huko wawaajiri kwa mfumo huo huko tunaita kukosa ubunifu wa wizara ya elimu kozi hawaanzishi hata idara mpya ili kuongeza wigo wa ajira
 
Nakufahamu kijana baada ya kuandika jina lako... kwenu kabisa ulipozaliwa na ulipokulia ni maeneo ya mpakani mwa Sinza na Ubungo... maeneo ya mitaa ya Shekilango maghorofani na mnaishi nyuma ya Rombo hotel pale kwa nyuma karibia na jengo la ubungo plaza. Ingawa hauishi pale tena na hata familia yako haipo pale lakini ndio kwenu tunapafahamu. Ulikuwa jijini Dar mwezi uliopita kwa ajili ya mambo binafsi na kazi kidogo.

Una gari aina ya VOLKSWAGEN TOUAREG mbili "2".... moja nyeusi, nyingine silva. Ni kijana mkimya, mtaratibu usiye na makuu na mwenye upendo na msaada kwa vijana wenzako. Huenda ni kwa sababu ya kazi yako ya kizalendo na mafunzo uliyopatiwa.

Anyways.... nafahamu mpaka kazi yako ni miongoni mwa watu maalum nchini. Wazo lako zuri sana! Ila si vyema kuanika jina lako ndugu.

Wazo zuri! LIMEFIKA [emoji1474]
Msamehe
 
Habari Wana Jf ni matumaini yangu wote ni wazima wa afya,

Pasi na kupoteza muda niende kwenye lengo la Uzi huu.

Wana Jf Mimi naona ni Wakati sahihi sasa serikali itoe ruhusa kwa walimu waanze kuajiriwa kwenye nafasi zifuatazo;

@ ustawi wa Jamii
@ uafisa utendaji
@ idara ya nida na tasaf
Kiufup Kuna baadhi ya kazi walimu wanafit kikamilifu inje ya taaluma yao

Pia hizo fani nashauri zingefutwa kabisa na kuacha kutolewa kwenye vyuo hapa inchini, ili kutoa nafas Kwa walimu ku cover sehemu izo.
Kwaiyo kozi zifutwe ili waajiriwe walimu? hivi kwa ubinafsi huu ndo unasema unaweza fit kuwa afisa mtendaji?
 
Back
Top Bottom