Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Misewe, Tabata, Dar es Salaam ambaye hakutaka kutaja jina lake akiandika Hisabati na ujumbe ubaoni unaosomeka Kitaeleweka tu, mkitulazimisha kuingia madarasani itakuwa hivyo jana, ikiwa ni mwendelezo wa mgomo wa walimu kuishinikiza Serikali kushughulikia madai yao mbalimbali.
Mahakama imewaamuru kurudi kazini
Mahakama imewaamuru kurudi kazini