Walimu: Kitaeleweka tu

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
walimu.jpg Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Misewe, Tabata, Dar es Salaam ambaye hakutaka kutaja jina lake akiandika Hisabati na ujumbe ubaoni unaosomeka ‘Kitaeleweka tu, mkitulazimisha kuingia madarasani itakuwa hivyo’ jana, ikiwa ni mwendelezo wa mgomo wa walimu kuishinikiza Serikali kushughulikia madai yao mbalimbali.
Mahakama imewaamuru kurudi kazini
 
View attachment 60730Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Misewe, Tabata, Dar es Salaam ambaye hakutaka kutaja jina lake akiandika Hisabati na ujumbe ubaoni unaosomeka ‘Kitaeleweka tu, mkitulazimisha kuingia madarasani itakuwa hivyo' jana, ikiwa ni mwendelezo wa mgomo wa walimu kuishinikiza Serikali kushughulikia madai yao mbalimbali.
Mahakama imewaamuru kurudi kazini[/QUOTE) jiandaeni kufanyiwa operesheni za kucha badala ya moyo!
 
View attachment 60730Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Misewe, Tabata, Dar es Salaam ambaye hakutaka kutaja jina lake akiandika Hisabati na ujumbe ubaoni unaosomeka ‘Kitaeleweka tu, mkitulazimisha kuingia madarasani itakuwa hivyo’ jana, ikiwa ni mwendelezo wa mgomo wa walimu kuishinikiza Serikali kushughulikia madai yao mbalimbali.
Mahakama imewaamuru kurudi kazini
Hili ni Somo la Hesabati sio Hesabu? Kitaeleweka tu kwani 1+3=13 23-3=7 3x3= 333 Hahahah hizi hesabu za kichina??????????????? Crashwise
 
Last edited by a moderator:
View attachment 60730Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Misewe, Tabata, Dar es Salaam ambaye hakutaka kutaja jina lake akiandika Hisabati na ujumbe ubaoni unaosomeka ‘Kitaeleweka tu, mkitulazimisha kuingia madarasani itakuwa hivyo’ jana, ikiwa ni mwendelezo wa mgomo wa walimu kuishinikiza Serikali kushughulikia madai yao mbalimbali.
Mahakama imewaamuru kurudi kazini

Sisi wenye watoto shule za kata tumeliwa kavukavu!
 
View attachment 60730Mwalimu wa Shule ya Msingi ya Misewe, Tabata, Dar es Salaam ambaye hakutaka kutaja jina lake akiandika Hisabati na ujumbe ubaoni unaosomeka ‘Kitaeleweka tu, mkitulazimisha kuingia madarasani itakuwa hivyo' jana, ikiwa ni mwendelezo wa mgomo wa walimu kuishinikiza Serikali kushughulikia madai yao mbalimbali.
Mahakama imewaamuru kurudi kazini
Mimi siwapingi ila hofu yangu mtayafanya hayo kwa watoto wa nani, wa magamba au wa sisi walala hoi? Kwanini chama cha CWT kisiongee na chama wa walimu huko wanakosomea watoto wa magamba (popote duniani) ili CWT ya huko ndiyo iwafanyie hivyo watoto wote wa magamba.
 
Back
Top Bottom