Mwanaccm mwenye akili kama kikwete na Mimi pia anajua uhai wa upinzani na upinzani active ndio uhai wa urais na Chama chetu!!!
Upinzani ukiwa hai wanaccm tunakua wamoja zaidi ili kupambana nao,upinzani usipokuwepo itabidi wanaccm wenzetu wajigawe wawe wapinzani wa madaraka ndani ya chama hapo ndipo mtafutano na mauaji Plus figisu zinaua wanachama tawala!!
Ndicho kinachoenda kutokea hapa team nchimbi vs team Samia Hala Kuna team wazalendo wa Tanzania wanna wa zoom kwa mbali,matokeo yake DAMU DAMU DAMU DAMU DAMU.........
Kazi na utu,tusonge mbele bandugu!!!