Walichoshindwa Apple kutoka kwenye simu za Android

Walichoshindwa Apple kutoka kwenye simu za Android

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
Apple failure _20251209_143740_0000.png


Kama umeshawahi kutumia simu ya iphone ukifungua apps nyingi wakati unatumia simu yako, ukizitaka kuzifunga kwa pamoja haiwezekani kabisa ? Unajua kwanini ๐Ÿ™‚.

Mtumiaji wa simu ya iphone hawezi kuzifunga apps zote alizozifungia kwa wakati mmoja kutokana na Mfumo wa iOS ulioundwa kuweza kudhibiti background apps ambazo umezifungua na huzitumi uwa wanaziweka kwenye Mfumo wa hibernate yani sleep mode ili kuweza kuhifadhi storage na betri.

images (1).jpeg


Mtumiaji wa iphone ili haweze kuzifunga apps zote alizotumia kwenye Simu yako anapaswa Ku restart simu yake WAKATI kwa watumiaji wa Android yenyewe Iko button imeandikwa Clear All au Close All kuweza kuzifunga app zote ulizofungua bila kuzima au kuwasha simu yako.

2_20251209_143600_0001.png


Apple wana kauli yao wanaamini wanasema Kuzifunga apps kupitia Mfumo wa close all au clear all upelekea kuvuruga usimamizi wa kumbukumbu kwenye Mfumo wa simu yako na kufanya simu kufa haraka ๐Ÿ˜ƒ.

Wanangu watumiaji wa Android mnasemaje hii kitu ?
 
Inawezekana tangu zamani sema watumiaje ahajui nanma ya kufanya
 
Inawezekana tangu zamani sema watumiaje ahajui nanma ya kufanya
Ku close apps zote ulizofungua kwenye apps ni lazima mtumiaji haweze kurestart kifaa chake au aingie setting haweze Ku close app moja moja sio kama ilivyo android ๐Ÿ™‚
 
Yako mengi ila Hilo ni mojawapo ๐Ÿ™‚
Lakini kwanini uclose zote kwa pamoja? Kama ni suala la battery kuisha haraka, hizo app ni bora kuziacha hivyo hivyo wazi..ukifunga..inapoanza ukifungua upya inakula battery zaidi!

Nb: Natumia Pixel 8 pro nayo huwez close app zote kwa pamoja, Kwahiyo usigeneralize kuhusu android
 
Mwananchi kuilinda Tanzania ni jukumu lako

epuka kuichoma nchi yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom