Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,468
- 2,180
Na ukimwambia mlevi kalewa inakua ni ugomvi hapendi kabisa kuambiwa kalewa.ww mwambie naona upo vizuri,umepiga vyombo,upo juu,umepga maji,unabembea n.k
hapo mtaelewana na kwenda sawa pamoja

hapo mtaelewana na kwenda sawa pamoja
