Walevi tupo makini kinoma!!

hata ukipombeka sana lakini ausahau chenji kwa mhudumu kesho wewe ndio wa kwanza utamkumbusha mhudumu chenchi
 
Huwa wanashangaza kwelikweli wanatoka Baa wakikaribia ngumbani wanadondoka ( hawajitambui) . Huwa mnajifanya?
 
Nipo hapa nasubiria kuvuka
20181002_221051.jpeg
 
Pombe ikiwa nyingi mwilini ubongo unapata habari na unapelekea mlevi kulala ili pombe isiingie tena mwilini. Hii ni body’s own defence mechanism.
pombe ikiwa nyingi mwilini inafanya mwili utengeneze sana enzyme inayo convert alcohol kwenda aldehyde na kisha fatty acids na hivyo kumfanya mlevi awe na tolerance na large quantities za alcohol.

nawasilisha
 
pombe ikiwa nyingi mwilini inafanya mwili utengeneze sana enzyme inayo convert alcohol kwenda aldehyde na kisha fatty acids na hivyo kumfanya mlevi awe na tolerance na large quantities za alcohol.

nawasilisha
Tupeni utalaam zaidi kuhusu Excessive drinking
 
Tupeni utalaam zaidi kuhusu Excessive drinking
shida ya excessive drinking ni pale ini linapochoka kutengeneza enzyme ya kufanya convertion kwenda aldehyde na hivo kuleta toxicity mwilini. na pia fatty acids zikitengenezwa nyingi zinafanya ini lijae mafuta kwa kitaalam steatotic liver inayofanya ini kuwa gumu na kugoma kufanya kazi au kuleta cancer
 
shida ya excessive drinking ni pale ini linapochoka kutengeneza enzyme ya kufanya convertion kwenda aldehyde na hivo kuleta toxicity mwilini. na pia fatty acids zikitengenezwa nyingi zinafanya ini lijae mafuta kwa kitaalam steatotic liver inayofanya ini kuwa gumu na kugoma kufanya kazi au kuleta cancer
Duhh ni hatari kwa watu tunaokesha tunakunywa mibia kwenye ma9t clubs,
Dalili zake zikoje ndugu??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom