adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,035
- 15,538
Hakuna mtu makini kana sisi walevi wakati wa kuvuka barabara.... kwanza tunaangalia kushoto na kulia kama kuna magari/pikipiki tunaangalia juu kama kunadenge ...kisha tunaaangalia chini kama kuna mabomu yametegwa tunaangalia nyuma kama kunamtu anataka kutukaba tunashikilia Bia vizuri kwa umakini kisha tunavuka barabara kwa zigzag kukwepa risasi......♂♂♂♂♂♂