Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Ram 4gb au 6gb? Na memory je 64/128?
Angalia bei mkuu si uchukue AE
Screenshot_2021-01-19-19-34-40-447_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
 
Iatakuwa ya 64 gb 128 hata aliexpress imechangamka Bei
Chief unaizumgumsiaje chipset ya media tek 800u 7nm , ?
Kama upo tayari kuishi na weakness za mediatek si soc mbaya, ina core 2 za Cortex A76, ina maana perfomance yake itakuwa Kubwa kwa daily activities.
 
Wakuu mimi natumia simu redmi note 5pro, ila kioo kimevunjika, nahitaji kioo ila bado inafanya kazi
 
Guys nina Redmi K20 Pro. Nahitaji exchange na simu yoyote kali. I wish nipate s10 plus.

Screenshot_2021-01-23-15-31-49-120_com.android.settings.jpg
 
Back
Top Bottom