Ram 4gb au 6gb? Na memory je 64/128?Mimi nmenunua xiaomi note 9s mpya kwenye box kwa 490,000 mtaa wa aggrey.
Angalia bei mkuu si uchukue AERam 4gb au 6gb? Na memory je 64/128?
Mkuu hiyo ya 490K itakua ile 4GB Ram +64GB Rom
Nafkiri, muulize mhusika hapo juu.Mkuu hiyo ya 490K itakua ile 4GB Ram +64GB Rom
Iatakuwa ya 64 gb 128 hata aliexpress imechangamka BeiNafkiri, muulize mhusika hapo juu.
Ni kweli itakua ya 64GB, ile ya 128 iko juu mzeeIatakuwa ya 64 gb 128 hata aliexpress imechangamka Bei
Chief unaizumgumsiaje chipset ya media tek 800u 7nm , ?
Kama upo tayari kuishi na weakness za mediatek si soc mbaya, ina core 2 za Cortex A76, ina maana perfomance yake itakuwa Kubwa kwa daily activities.Iatakuwa ya 64 gb 128 hata aliexpress imechangamka Bei
Chief unaizumgumsiaje chipset ya media tek 800u 7nm , ?
Kama wiki iliopita redmi note 9s ilishuka hadi $141 official store, na 128gb kwa $167, Sema Zimepand tayari sasa hivi.Iatakuwa ya 64 gb 128 hata aliexpress imechangamka Bei
Chief unaizumgumsiaje chipset ya media tek 800u 7nm , ?
4gb+64gbRam 4gb au 6gb? Na memory je 64/128?
Yah ni 4gb ram,6gb ram 580kMkuu hiyo ya 490K itakua ile 4GB Ram +64GB Rom
Okey ,vipi jamaa wanazile cover ngumu za ku-protect camera?Yah ni 4gb ram,6gb ram 580k
Mkuu una uhakika? $167 ile ya 128GB, aisee kama ni kweli basi zilishuka sana,,Kama wiki iliopita redmi note 9s ilishuka hadi $141 official store, na 128gb kwa $167, Sema Zimepand tayari sasa hivi.
Ndio zinashuka hivyo, angalia angalia pia mwaka mpya wa kichina ni February,kunaweza kuwa na punguzo jengineMkuu una uhakika? $167 ile ya 128GB, aisee kama ni kweli basi zilishuka sana,,
nikupe note 9 4gna note8T mkuu unipe hioGuys nina Redmi K20 Pro. Nahitaji exchange na simu yoyote kali. I wish nipate s10 plus.
View attachment 1684212
Yaani unipe hizo simu mbili?nikupe note 9 4gna note8T mkuu unipe hio
NdioYaani unipe hizo simu mbili?
Zote ni Redmi?