wise boi
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 363
- 794
Mkuu hii font umewekaje?Naona leo imekubali asee
View attachment 1237802
Mkuu hii font umewekaje?Naona leo imekubali asee
View attachment 1237802
Poa ngoja nichek huko mtandaoniWhy usiagize online mkuu. Spare za hii hizi simu unatafuta kwa style hiyo mkuu.!!!
Mkuu mbona maelezo niliweka hapo juu na font inaitwa Rosemary.Mkuu hii font umewekaje?
Hapana! Kuna picha zimo kule hlf sikuzihamishia kwenda kweny email kabla haijaharibika..na zile picha siwez kuzipata tena hata iweje! Mi napenda pics sana..Bora ununue simu nyingine tu
Kwani hukuwa na account ya Google photo?Hapana! Kuna picha zimo kule hlf sikuzihamishia kwenda kweny email kabla haijaharibika..na zile picha siwez kuzipata tena hata iweje! Mi napenda pics sana..
Picha zinanifanya niingie gharama ya laki kadhaa..picha tuu
Kwani hukuwa na account ya Google photo?
Mimi kupitia hiyo app hadi picha za 2015 ninazo
Nimebadili simu kama 6 hivi
Ila picha nazikuta kule kwenye app ya G.photo
Nilikua nayo mkuu..ni baadhi ya pic za 2015 ninazo, hazikuingia zote mule mana nimeshachek..ndicho kinachonifanya nichomeke hela nizipate tu basiii!Kwani hukuwa na account ya Google photo?
Mimi kupitia hiyo app hadi picha za 2015 ninazo
Nimebadili simu kama 6 hivi
Ila picha nazikuta kule kwenye app ya G.photo
Labda bado haijakamilika. Nimechek hiyo option haipoairtel money master card hivi hii huduma ipo au magumashi
maana option ya kudeposit ela hamna
Alikua seller gani huyo!?Pole Sana, hata Mimi yaani jamaa kaa wiki 3 hajaship halafu nimekula hela ya watu. Hapa nipo natunga uwongo ili ni buy time mzigo ufike..maana juzi cancel shipment. Yaani wachina wasumbufu Sana.
Alikua seller gani huyo!?
Lakini si kashaship au bado mpaka leoHuyu seller anauza spy watch anaitwa Smartdog digital store. Yaani hawa wajeda sijui nawaambia nini.
Lakini si kashaship au bado mpaka leo
Tatizo kwenye kucancel Oda Ela inayorudishwa inakua pungufu na uliyotumia awali
Ahaa poa poaNilikua nayo mkuu..ni baadhi ya pic za 2015 ninazo, hazikuingia zote mule mana nimeshachek..ndicho kinachonifanya nichomeke hela nizipate tu basiii!
Ingia store ya ugreen,esseger au anker wako njema piaHivi Kama simu ina fast charge 18w/4.0
Unaweza tumia adapter/wire yenye 24w/3.0
Labda inatakiwa iweje wadau AU 18W/4.0 zinatakiwa inatakiwa ipate kifaa chenye namba sawa?
Pia nimeona seller wengi Wanauza adapter za fast charge bila wire cable
Je unaweza tumia adapter ya fast charge Kwenye wire cable ya kawaida (na kinyume chake) na simu ikajaa haraka kama kawaida?
Kampuni gani ina fast charger nzuri?
Asanteni
chief-mkwawa
Mr. Mobile
Mwl.RCT
Ingia store ya ugreen,esseger au anker wako njema pia
Essager nilichuku ile yenye port 3 moja ya fast charging ile port haikumaliza hata week ikafa haifanyi kazi kwasasa.Ingia store ya ugreen,esseger au anker wako njema pia