Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,275
- 18,353
Na bahati mbaya inaweza kutokea kwangu au kwako so simply nunua tu. Sasa tusiponunua wale wafanyabiashara wa k/koo watamuuzia nani?
Kodi sio kiile Boss ila ni bahati mbaya tu wengi wanaagiza humu wakatwi kodi boss uoga wako tu.