kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,514
- 7,909
Mkuu hiyo kitu balaa,,nashangaa watu wana note 7 humu hawajaiweka hadi sasa
Ukifanikiwa kupata hiyo pixel ndio utakua unemalza kazi mkuu,sema inabidi ujilipue kweli
Ukifanikiwa kupata hiyo pixel ndio utakua unemalza kazi mkuu,sema inabidi ujilipue kweli
Hehe..yan mkuu kwa kusifia hiki kitu hujambo..bado naendelea kujipanga kikamilifu nibebe google pixel 3xl potelea mbali..hehe nijikaze kiume zaid ninyanyue google pixel 4XL inayotoka mwaka huu