Wale wenye ndevu tukutane hapa

Kuwa na ndevu wakat account haisomi madorari Ni takataka Kama takataka zingine

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
Kwa maana hiyo wale wote wasio na ndevu wanaruhusiwa accounts zao zisome "0"??? Ndevu na account ni vitu 2 mbali mbali. Waweza kutokuwa na dolar leo lakini kesho zikasoma. Utafuga lini hiyo ndevu mazee!!!!! Narudia, Mwanamume ni ndevuuuuu hayo mengine ni chachandu tu. Ndevu ni heshima kubwa
 
Dume inatakiwa utishe namna hii, sio kidevu cheupe kama kinena cha kahaba.
1585326725-picsay.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom