Kwa maana hiyo wale wote wasio na ndevu wanaruhusiwa accounts zao zisome "0"??? Ndevu na account ni vitu 2 mbali mbali. Waweza kutokuwa na dolar leo lakini kesho zikasoma. Utafuga lini hiyo ndevu mazee!!!!! Narudia, Mwanamume ni ndevuuuuu hayo mengine ni chachandu tu. Ndevu ni heshima kubwaKuwa na ndevu wakat account haisomi madorari Ni takataka Kama takataka zingine
Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa