palsa
JF-Expert Member
- Apr 24, 2011
- 1,326
- 1,680
Sio kweli. Ukiwa na kichwa kigumu labda.sure usisahau na ile ya kufanyiwa assignments
Chuo kama
i) haugelezei wenzio kwenye pepa
ii) haufanyiwi assignment
iii) hauna mazoea na Leactures
iv) Huna wowowo/mzuri au hushawishi anybody 😸😸😸😸
tegemea kupata Lower second n pass otherwise inahitaj juhudi na msuli mkubwa sana kutoboa