Wale wanaume wanaoonyesha jitihada kwa wanawake wao lakini wanaambulia kuumizwa, someni hapa tafadhali

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,258
22,326
Beberu mmoja asiyejulikana aliwahi kusema hivi;

"Young man: no matter how well you treat a lady, if you are not the man she has feelings for she will never appreciate your efforts. Ladies are loyal to their feelings, they do not care about your sacrifices. You have heard." - Anonymous

Kwa tafsiri isiyo rasmi ni kwamba "kijana haijalishi unamhudumia vizuri kiasi gani mpenzi wako kama wewe sio yule mwanaume ambaye ana hisia nae kamwe hatajali jitihada zako. Wanawake ni waaminifu kwenye hisia zao, hawajali jinsi unavyojitoa kwao"

Mimi binafsi naungana na beberu katika hilo. Kuna upuuzi kwenye jamii umeenea watu wakiaminishana kwamba kumpa hela mwanamke ndo utamnasa na kumtuliza. Mambo hayako hivyo kabisa. Zingatia hiyo sentensi inayosema "mwanamke ni mwaminifu kwenye hisia zake". Kama hisia zipo kwa John basi atahakikisha penzi la kweli anatoa kwa John na sisi wengine akitupanga na kutuchuna haswa. Binafsi ni mhanga mkubwa wa kuchunwa na demu. Nilichunika haswa kwa upumbavu wa kudhani nikionyesha jitihada za kumjali atatulia. Nilikuwa namlipia karibu kila kitu kumbe kuna lijamaa linapewa bure bila gharama yoyote. Ikifikia hiyo stage ya kugundua ndo pale maafa hutokea.

Vijana hakuna haja ya kuuana kisa mapenzi. Ukiona dalili za mwanamke hakupendi wewe kimbia usikae hapo. Dalili kuu ya mwanamke mshenzi ni kuombaomba hela kwenye mahusiano. Akianza tu kuomba hela achana nae. Utampata wako ambaye atakuwa anataka mapenzi yako tu sio hela. Na hata ikitokea kaomba hela basi ni katika mazingira ambayo hana jinsi kabisa. Mpenzi aliyewahi kunipenda sana alishawahi kuniomba Tsh 10k tu.

Pia mwanamke mwenye mawasiliano ya kusua sua jua kabisa kuna jamaa anamla kwahiyo pia hapo kimbia. Mwanamke anayependa atakutafuta kwa namna zote za mawasiliano ikishindikana hata kwako atakuja. Ila hawa washenzi wengine unaweza kumpigia akakujibu niko na marafiki zangu nitakupigia.

Waungwana nisiandike sana ila ninawasihi usitumie hela zako kama njia ya kumtuliza mwanamke maana mwishoni utajuta. Na nyie wanawake kama mtu humpendi usile hela zake maana wengine akigundua usaliti hatavumilia na kunaweza kukatokea maafa.
 
Beberu mmoja asiyejulikana aliwahi kusema hivi;

"Young man: no matter how well you treat a lady, if you are not the man she has feelings for she will never appreciate your efforts. Ladies are loyal to their feelings, they do not care about your sacrifices. You have heard." - Anonymous

Kwa tafsiri isiyo rasmi ni kwamba "kijana haijalishi unamhudumia vizuri kiasi gani mpenzi wako kama wewe sio yule mwanaume ambaye ana hisia nae kamwe hatajali jitihada zako. Wanawake ni waaminifu kwenye hisia zao, hawajali jinsi unavyojitoa kwao"

Mimi binafsi naungana na beberu katika hilo. Kuna upuuzi kwenye jamii umeenea watu wakiaminishana kwamba kumpa hela mwanamke ndo utamnasa na kumtuliza. Mambo hayako hivyo kabisa. Zingatia hiyo sentensi inayosema "mwanamke ni mwaminifu kwenye hisia zake". Kama hisia zipo kwa John basi atahakikisha penzi la kweli anatoa kwa John na sisi wengine akitupanga na kutuchuna haswa. Binafsi ni mhanga mkubwa wa kuchunwa na demu. Nilichunika haswa kwa upumbavu wa kudhani nikionyesha jitihada za kumjali atatulia. Nilikuwa namlipia karibu kila kitu kumbe kuna lijamaa linapewa bure bila gharama yoyote. Ikifikia hiyo stage ya kugundua ndo pale maafa hutokea.

Vijana hakuna haja ya kuuana kisa mapenzi. Ukiona dalili za mwanamke hakupendi wewe kimbia usikae hapo. Dalili kuu ya mwanamke mshenzi ni kuombaomba hela kwenye mahusiano. Akianza tu kuomba hela achana nae. Utampata wako ambaye atakuwa anataka mapenzi yako tu sio hela. Na hata ikitokea kaomba hela basi ni katika mazingira ambayo hana jinsi kabisa. Mpenzi aliyewahi kunipenda sana alishawahi kuniomba Tsh 10k tu.

Pia mwanamke mwenye mawasiliano ya kusua sua jua kabisa kuna jamaa anamla kwahiyo pia hapo kimbia. Mwanamke anayependa atakutafuta kwa namna zote za mawasiliano ikishindikana hata kwako atakuja. Ila hawa washenzi wengine unaweza kumpigia akakujibu niko na marafiki zangu nitakupigia.

Waungwana nisiandike sana ila ninawasihi usitumie hela zako kama njia ya kumtuliza mwanamke maana mwishoni utajuta. Na nyie wanawake kama mtu humpendi usile hela zake maana wengine akigundua usaliti hatavumilia na kunaweza kukatokea maafa.
Kweli mkuu umeongea Jambo la mbolea Sana.....kuna viashiria ambavyo huwa tunavichukulia poa lkn mwisho wa siku huja kutuumiza.

Inatakiwa tuvigundue mapema na kuchapa lapa.
 
Zamani wanaume wa Dar tulikuwa tunakula mbususu kwa mtongozo tu. Lakini tokea hawa wanuka kupuo( wanaume wa mikoani). Hawajui kutongoza wao hela wanaona ndio mtongozo sasa hali imebadilika kweli.
 
Aisee kuna jamaa yangu wa Chugga alijjpatia marks zote 100 kutoka kwa demu mkali aligekuwa na mahusiano na Tajiri hapo Arusha.

Jamaa aliniambia kuwa , mapenzi sio pesa chalii angu. Huyu demu alikuwa na jamaa ana pesa ndefu lakinj kuna vitu alikuwa anavikosa . Mfano chalii alikuwa anamfulia chupi mkewe na kumpa muda wake mwingi pamoja naye. Demu alikiri hivi vitu kwa Matajiri havipo na havipatikani🤣🤣🤣
 
....naunga mkono hoja 100%....
Screenshot_20220731-232709_WhatsApp.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom