joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,157
- 31,737
Wamezingua sana.Huyu mpuuzi bora hata angeenda zake Azam huko! Ila siyo Yanga. Alitukejeli sana mpuuzi mmoja yule enzi akiwa ni mbwatukaji wa mbumbumbi fc.
Mbaya zaidi, madongo yake yot yalikua yanapiga kwenye mfupa!! Halafu eti leo ni "mwenzetu"!! Wacha tuitwe tu utopolo! Kwa hiki kitendo cha kumkaribisha Haji Manara, kimedhihirisha baadhi ya viongozi wa Yanga wana ubongo wa kuku.