Wakuu
Heri ya Mwaka mpya naomba kutokana na usumbufu wa NIDA hawa jamaa kutotoa namba au vitambulisho kwa wakati andika Maneno “ Hapana Kura CCM” ili kuonesha kutoridhishwa na zoezi zima la kutoa vitambulisho vya taifa tuone ni kura wangapi watapoteza ili tuwaadhibu kwenye sanduku la kura.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Heri ya Mwaka mpya naomba kutokana na usumbufu wa NIDA hawa jamaa kutotoa namba au vitambulisho kwa wakati andika Maneno “ Hapana Kura CCM” ili kuonesha kutoridhishwa na zoezi zima la kutoa vitambulisho vya taifa tuone ni kura wangapi watapoteza ili tuwaadhibu kwenye sanduku la kura.
Sent from my iPhone using JamiiForums