Wale wa UDSM jamani

Wale wa UDSM jamani

RUKUKU BOY

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
1,588
Reaction score
1,858
Habari wakuu, nimechaguliwa UDSM, na nimeona kozi yangu ipo kwenye collage ya CONAS, sasa naomba kwa anayejua atufahamishe changamoto za udsm, vp garama kama hostel zikoje, huduma ya maji na chakula vikoje chuoni apo, na utaratibu gan unatumiwa kupanga wanafunzi katka hostel za mabibo na main campus? na anaye jua garama za registration uchukua kam TSH. NGAPI, wakuu msaada tafadhari
 
Fuata maelekezo chuoni,mbona vijana mnakua wavivu.Sio kila kitu lazima muulize humu.
 
Habari wakuu, nimechaguliwa UDSM, na nimeona kozi yangu ipo kwenye collage ya CONAS, sasa naomba kwa anayejua atufahamishe changamoto za udsm, vp garama kama hostel zikoje, huduma ya maji na chakula vikoje chuoni apo, na utaratibu gan unatumiwa kupanga wanafunzi katka hostel za mabibo na main campus? na anaye jua garama za registration uchukua kam TSH. NGAPI, wakuu msaada tafadhari

karibu sana pale College of natural and applied science (conas) kuhusu hostel usiwaze first year lazma upate chumba mabibo au campus ukifika tu chuo utakuta jina na room namba yako ,msosi kwa udsm ni bei ya kawaida kuhusu ada inategemea na mkopo umepata kiasi gani. karibu sana udsm by alumni
 
karibu sana pale College of natural and applied science (conas) kuhusu hostel usiwaze first year lazma upate chumba mabibo au campus ukifika tu chuo utakuta jina na room namba yako ,msosi kwa udsm ni bei ya kawaida kuhusu ada inategemea na mkopo umepata kiasi gani. karibu sana udsm by alumni

duu mkuu nashukuru sana...ubarikiwe!
 
karibu sana pale College of natural and applied science (conas) kuhusu hostel usiwaze first year lazma upate chumba mabibo au campus ukifika tu chuo utakuta jina na room namba yako ,msosi kwa udsm ni bei ya kawaida kuhusu ada inategemea na mkopo umepata kiasi gani. karibu sana udsm by alumni

Naomba unichek inbox
 
Jiandae na msuli wa nguvu hapo conas usharo wote acha mtaani andaa kama laki tatu direct cost kama 80000 ila kama una kadi ya bima ya afya hutalipa 54000 ya afya kutoka kweny hyo direct cost kuhusu hostel mabibo sh. 76000 main campus 100000
 
Jiandae na msuli wa nguvu hapo conas usharo wote acha mtaani andaa kama laki tatu direct cost kama 80000 ila kama una kadi ya bima ya afya hutalipa 54000 ya afya kutoka kweny hyo direct cost kuhusu hostel mabibo sh. 76000 main campus 100000

duu hasante sana mkuu, vp maktaba ina2mika mda wote?na vp hapo hostel za main campus kuna uhuru wa kutoka na kuingia?
 
Maktaba free kuanzia saa moja asubuh had SAA moja na nusu usiku ila lazima uwe na kitambulisho. Hostel ni free hata urudi usiku wa manane
 
Jiandae na msuli wa nguvu hapo conas usharo wote acha mtaani andaa kama laki tatu direct cost kama 80000 ila kama una kadi ya bima ya afya hutalipa 54000 ya afya kutoka kweny hyo direct cost kuhusu hostel mabibo sh. 76000 main campus 100000
VP kozi ya botany INA solo ktk ajira!
 
Kijana kama umechaguliwa conas kasome sana aisee,pale wana departmental GPA,so ucje ukaenda kujilinganisha na wenzio wa coss au udbs mkaenda kushnda pale TBS kushangaa wanawake.
 
Kijana kama umechaguliwa conas kasome sana aisee,pale wana departmental GPA,so ucje ukaenda kujilinganisha na wenzio wa coss au udbs mkaenda kushnda pale TBS kushangaa wanawake.

Duu kwan TBS kuna wanawake mkuu!
 
pia naomba kuuliza, hiyo 76,00 au 1000,000 ya hostel ni kwa mda gani?
 
Hiyo ni ya semester mkuu! Natafuta first year wakunibeba hostel tuwasiliane on 0672943978 wish u a prosperous stay at udsm
 
Back
Top Bottom