Wale wa TEKU tukutane kwa hapa.

Wale wa TEKU tukutane kwa hapa.

sir imma

Member
Joined
Aug 17, 2013
Posts
75
Reaction score
7
Kwanza hongereni wote mliochaguliwa ila wale wa TEKU nawahitaji hapa. Nawasilisha
 
mkuu nimeona wenzio hawaji kukupa kampani, mi nimekuja kukukaribisha. KARIBU SANA TEKU mwalimu.
 
Hivi hiki ni chuo gani mbona hata waliochaguliwa wanakiogopa!nawapa kampani tu jamani.
 

me mwenyewe sijui , ila usiwe na wasiwasi wanaojua ni wale walioangalia kupitia airtel na kwa Sa hivi hiyo huduma imesitishwa .. ila pia kama haumo kwenye majina ambayo tcu wametoa ya watu ambao hawajachaguliwa coz yoyote ina maana chuo umeshapata cha muhimu ni kusubiria tu wakitoa majina ujue ni chuo gan exactly
 
Madent wa teku mna2angusha sana au ndo mnasubiri tcu mpate uwakika je na wale second na third achen hizo mi nipo udom...
 
watu mpaka sasa hivi hawajapewa pesa yao ya filed kwa sasa ya poor management ya chuo,afu ww unang'ang'ania kwenda pale,duuuu utajutia
 
watu mpaka sasa hivi hawajapewa pesa yao ya filed kwa sasa ya poor management ya chuo,afu ww unang'ang'ania kwenda pale,duuuu utajutia

hakupenda kwnda pale ila MATOKEO ndio yamemfanya haende pale
 
hakupenda kwnda pale ila MATOKEO ndio yamemfanya haende pale

Acha kushusha hadhi za watu...kuna jamaa'ngu ana 2:12 akaaply daculty zake za kibeto za udsm,mzumbe lkn bahat mbaya hakuaprove eligibility tcu ikamtema then akafany 2nd round application ambapo akakuta utamu wote umeisha...basi ikambidi ajaze TEKU..n
 
Sio tatizo ni changamoto tuuu watapewa tuuu hizo pesaa but karibun in da green city wadau
 
Karibun in da green city coz elimu yetu ile o
ile hata usome wap kuzunguka na vyetii ndo kawaida yetuuu
 
Acha kushusha hadhi za watu...kuna jamaa'ngu ana 2:12 akaaply daculty zake za kibeto za udsm,mzumbe lkn bahat mbaya hakuaprove eligibility tcu ikamtema then akafany 2nd round application ambapo akakuta utamu wote umeisha...basi ikambidi ajaze TEKU..n

nina was was na matokeo yke ya 4m 4
 
Karibun in da green city coz elimu yetu ile o
ile hata usome wap kuzunguka na vyetii ndo kawaida yetuuu

mm nishamalza mkataba na mbeya coz 4m 6 nimemalza huko sasa hv ninaproject na udsm muce
 
Back
Top Bottom