Wale wa taarabu!!!

Wale wa taarabu!!!

Mimi naomba msaada wa taarab moja hivi mashairi yake yanasema, " Yailahi shoga si shoga, kumbe ni hasidi eeh
Nalia shoga si shoga, kumbe ni hasidi"
Nimesahau uliimbwa na nani.
 
Mimi naomba msaada wa taarab moja hivi mashairi yake yanasema, " Yailahi shoga si shoga, kumbe ni hasidi eeh
Nalia shoga si shoga, kumbe ni hasidi"
Nimesahau uliimbwa na nani.
Atakuwa diamond tu huyo.wala usipate tabu sheikh.
 
wakuu kuna huu wimbo wa taarabu wenye maneno haya

...duka lako la asali sasa linanuka shombo...ukipewa bia mbili hujiwezi huna nyimbo...

....wanakugombania kama mpira wa kona...

nani aliimba huu wimbo na unaitwaje??
Anaitwa Ali Star ..wimbo unaitwa Havumi lakini yumo.
 
Back
Top Bottom