Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,409
asante na pole nlifikiri alifariki,Mpande yupo hai pale moshi mjini...alipata ajali kipind flan but yu hai. ..amefariki Mwalimu Athuman aliyekuwa akifundisha MV.
Mpande alikuwa mbabe sana alafu alikuwa anachapa madem wa kisukuma kipindi hicho wanakuja washamba washamba.
mwlim mhina alikuwa na baikseli yake sitosahau aisee.