barach pwm
Member
- Sep 2, 2012
- 43
- 5
,.Naomba mnijuze kama inawezekana kwa aliyesoma HGE kupata nafasi na kumudu kozi y Architecture,Building Economics,BAF hapo chuoni
natamani nikusaidie ila mimi siko ARU,embu wangoje wanakuja!!,.Naomba mnijuze kama inawezekana kwa aliyesoma HGE kupata nafasi na kumudu kozi y Architecture,Building Economics,BAF hapo chuoni
HGE huwezi soma architecture,,.Naomba mnijuze kama inawezekana kwa aliyesoma HGE kupata nafasi na kumudu kozi ya Architecture,Building Economics,BAF hapo chuoni
Du mzigo wa hapa noma,embu jaribu udom
hata hapo kwenye building economics itakua ngumu...nlikua nacheki prospectus yao kuna mpaka kozi za mechanics na hesabu(sio BAM naongelea pure au engineering maths)...hapo vipi HGE atatoboa? labda kama anajiamini,kwa BAF haina tabu!HGE huwezi soma architecture,
ila hayo ya red nafikiri unaweza ila lazima uwe umefaulu hesabu
ndio uwezo wako wa kumshauri umefikia hapo????Huyo aende CBE panamfaa kabisa. Au akishindwa basi aende tumaini
Ndiyo lazima uwe umeperfome good physics, chemistry na mathje niliehitimu kidato cha nne naweza jiunga katika chuo cha aridhi kwa koz ya land menejiment kweeeeeel? naombeni msaaada wenu wandugu zangu
hapana, huwezi kujiungaje niliehitimu kidato cha nne naweza jiunga katika chuo cha aridhi kwa koz ya land menejiment kweeeeeel? naombeni msaaada wenu wandugu zangu
Mi nadhan hajadharau ila walijidharau wenyew mwanzo kwa kuchukua takataka ndo mana mpaka leo watu wanajua chuo cha kubeba takatakaacha kudharau vyuo vya wenzio mkuu.