Wale tuliotumia vitabu vya Nyambari Nyangwine tujuzane tulipo kwa sasa

asiyetabirika

Member
Oct 14, 2019
46
55
Kulikuwa na wimbi kubwa sana la vitabu na na notes mbalimbali vilivyokuwa vimechapishwa na na kutungwa na Nyambari Nyangwine, ilikuwa si rahisi kwa mwanafunzi unayejua kujitafutia material/notes halafu usivitumie vitabu vya Nyambari Nyangwine.

Kutokana na harakati za kipindi hicho hasa kwenye hizi shule zetu za mwanafunzi kukomaa mwenyewe kwa sehemu kubwa, kipindi hicho mwalimu anakwambia 75% utafute mwenyewe yeye mchango wake ni 25% tu, sasa hapo ni full kupambana ila kwa sehemu kubwa materials nyingi zinapatikana kwenye vitabu vya Nyambari Nyangwine.

Kutokana na hizo harakati leo nipo sehemu nzuri ambayo kimsingi inanipa mkate wa kila siku. Je, wewe upo wapi leo?
 
Nyambari alidominate o level sasa hayo manelcon na machandi si andvance hiyo mkii

Sent using Jamii Forums mobile app
Ali dominate wapi? Kama ni o level inategemeana na shule uliyosoma . Sisi tulitumia Fundamental ,Oxford ,Ujuzi ,Longhorn ,Macmillan , na T.I.E kwa mbali.Pia zilikuwepo principles za physics na Abbot ,Lambert ya chemistry.
 
hapo kwenye shule inawezekana. Maana shule zetu zile hatukuwahi kupata hayo mavitabu
Ali dominate wapi? Kama ni o level inategemeana na shule uliyosoma . Sisi tulitumia Fundamental ,Oxford ,Ujuzi ,Longhorn ,Macmillan , na T.I.E kwa mbali.Pia zilikuwepo principles za physics na Abbot ,Lambert ya chemistry.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ali dominate wapi? Kama ni o level inategemeana na shule uliyosoma . Sisi tulitumia Fundamental ,Oxford ,Ujuzi ,Longhorn ,Macmillan , na T.I.E kwa mbali.Pia zilikuwepo principles za physics na Abbot ,Lambert ya chemistry.
Dah umenikumbusha Lambert na Abbot hatari sana afu Hesabu za Wakamoga Masinde (complete ),Fundamentals of Biology (hii kitu ukianza kusoma ya form 2-4, huwez fail bios),English grammars alikuepo mnyama wakuitwa Kadeghe Michael ,...You remind me of those days....
 
Tupo tumeamua kujiajiri baada ya serikali kutunyima ajira pia aliyeandika fundamental of biology abarikiwe sana popote alipo
 
Back
Top Bottom