We jamaa hata mimi nahisi kuna chai kwenye huu uzi. Hebu tuwekane sawa kwanza. Unamaanisha wewe ni mwenyekiti wa bodi ya taasisi fulani ya serikali au mkurugenzi?. Hivi vyeo vyako hebu viweke vizuri, ni meneja wa nini hasa na ni mkurugenzi wa bodi au mwenyekiti wa bodi?Yes bro, si uongo. Ni mkurugenzi wa bodi fulani, inawezekana.
31 uko meneja na mkurugenzi at the same time tena serikalini huo UONGOI meant nilipokuwa mwaka wa 2 chuoni kaka. Now nina-approach 31 years.
Swali zuri sana mkuu. hata mimi nilitaka kumuuliza hivi ila nikaona nimwombe aweke vyeo vyake kama vinavyotamkwa kazini kwake. Huyu jamaa ni muongo. Hata ile kuvutwa pumbu na mkewe nahisi pia alidanganya!Hivi kuna mkurugenzi wa bodi au mimi bado mshamba!
Nasikiaga tu mwenyekiti wa bodi
Umewezaje kufikia umeneja na ukurugenzi katika shirika na bodi ya serikali katika umri ambao wengi ndio huwa wako katika hatua za mwanzo ajira za serikali?I meant nilipokuwa mwaka wa 2 chuoni kaka. Now nina-approach 31 years.
nimesoma comment chache tu hapa ila nilichogundua jf wana wivu sana adi thread imeharibika maana na lengo lakeMaisha ya jamii forum yanachanganya sana
Wewe juzi tu hapa sii ulisema uko second year au nimekuchanganya
Leo umeshakuwa manager tena kwenye kampuni mbili
Mishahara yote miwili ni 8M+16 m monthly hela ndogo!? Hajatusua!?
Mkuu Kwa maskin ninaoujua mmMishahara yote miwili ni 8M+
Well, hajatusua as such. Salary is time bound. Sio “asset”. Most importantly - unachopata sio issue ila kinachobaki baada ya kufanya expenses zako zote ndio muhimu zaidi
Elimu yako haijakukomboa. Kwa uandishi huu naamini umesoma kile Chuo Kikuu pale MsamvuWanajamvi nawasalimu!
Nilipokuwa chuo niliishi maisha magumu mno, mlo nilikuwa nakula mmoja tu napo ni jioni. Home hakukuwa na hela na hawakuweza kunilipia ada. Hela yote ya boom nilikuwa naigawa kulipa madeni, ada na pango, na kubakiwa na kiasi kidogo mno ambacho hunisogeza kwa siku chache tu.
Wasichana wazuri nilikaa nao mbali kwani sikuwa na cha kuwapa. Wanasema ni bora kujifanya unazo ili uwanase, ila kwangu uongo ulikuwa ni mwiko kwani aibu ya kuumbuka ni kubwa mno. Nimeshakosa tests kadhaa chuo kwa kukosa hela ya ada ila kwa uwezo tu wa Mungu nilifanikiwa.
Home hakuna hata mmoja aliyefika advance, ni mimi tu. Dada zangu karibia wote wanne walipata mimba na hawakuweza kusoma. Mmoja ameishia form four na akafeli.
Kaka zangi wawili wameishia la saba na kufeli kuingia form one.
Pata picha hapo maisha yalivyokuwa magumu. Ilifika wakati mtaani tulikuwa tunachekwa kwani tulijazana watu wengi ndani ya nyumba moja ndogo ya vyumba vitatu, na vyote uliishi humo kuanzia baba, mama, ndugu na watoto wote.
Narudi maisha ya chuo...Chuo sikuwahi kutembelea kumbi za starehe kwani sikuwa na pesa za kutosha, na ukizingatia DSM kila weekend wanachuo hufurika kumbi zote za starehe kula bata.
Nilivaa mavazi ya kimasikini japo si sana. Nilijitahidi kusoma kwa bidii na kwa uchungu mkubwa. Hakuna 'demu' yeyote aliyenipenda katika kipindi hiki, wote walinikwepa kama kinyesi. Ila sikuwa na kawaida ya kukopa kopa hela kwa watu au kulia lia shida hovyo. Kifupi nilikuwa ni masikini jeuri.
Namshukuru Mungu kwa kunifuta machozi ya muda mrefu, na hayo ndiyo maisha niliyopitia chuo.
'Mungu na awaone wengj wanaopitia kipindi kigumu kwa muda huu'
Nawasilisha, karibuni tufarijiane na tukumbushane maisha haya ya uchungu.
Kwa sasa nashukuru Mungu wanangu wanaitwa WA KISHUA. Thanks lord!
No sina maana hiyo, Ila siku moja before hajaleta hii thread tulikuwa tunabishana kwenye jukwaa la elimu kuhusu maswala ya chuo.nimesoma comment chache tu hapa ila nilichogundua jf wana wivu sana adi thread imeharibika maana na lengo lake
Kuna kausemi ka wahenga ' ukiongopa sharti uwe na kumbukumbu" labda hakajuiMaisha ya jamii forum yanachanganya sana
Wewe juzi tu hapa sii ulisema uko second year au nimekuchanganya
Leo umeshakuwa manager tena kwenye kampuni mbili