Agent007
Senior Member
- Nov 15, 2015
- 106
- 80
bila kusahau kibahaItakuwa ulitupwa Mzumbeni wewe au Umenyeni...
Hizo ndio shule pekee kwa wakati huo watu walikuwa wanasoma kama vile wanajiandaa kwenda kufanya interview NASA...(sijui kwa miaka hii zipoje)
Sent using Jamii Forums mobile app