KIDUME20
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,954
- 4,511
We hutoki na shimba ya buyenze ww au unajifanya tu hapa 🤔Ndo nani huyo?
We hutoki na shimba ya buyenze ww au unajifanya tu hapa 🤔Ndo nani huyo?
Itakua ulisoma Bwiru boys make m nilikua shule ya jirani pale...Mshindani wake maeneo yale alikua jamaa mmoja wa Kitangiri sec anaitwa Jastine Mazinge...Wote walipata division I-10 (2010) ..Mazinge akaenda Tabora school,Erasm akaenda IlboruHuyu erasmi alkuwa noma sana,nmesoma nae o level shule Moja ila yeye alkuwa mbele yangu
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
We hutoki na shimba ya buyenze ww au unajifanya tu hapa 🤔
Sio mbaya acheni wazee muendelee kujiliwazeni tu 🤗🤗🤗Shimba ya Buyenze ....!!
Hii ni episode ya ngapi?
Lakini..., Mr. Plenty..... kwani kuna dhambi ikiwa hivyo...?
Sio mbaya acheni wazee muendelee kujiliwazeni tu 🤗🤗🤗