Wale tuliosoma advanced physics

Wale tuliosoma advanced physics

Ntaanzisha tuition humu naona watu mmeteseka kumbe.

Haya mambo easy kabisa....

Tizim na mechanics ni urefu tu ila tamu.

Wave tamu vile unaitaja vipi eti ngumu? acheni maskhara nyie
Jamani hio "tizim" ni topic ya Physics? Mbona ngeni kwangu?
 
mimi hakuna topic ya physics niliyoshindwa kwa kuwa nilikuwa complex,ila kule kwenye benzene kulikuwa kunaninyima raha .
 
Pale milambo nilikuwa mbabe wa physics japo nilipga PCB mwaka 2011
 
  • Thanks
Reactions: DLS
HAHAAA USINCHEKESHE MIMI...UNATOA MACHO KAMA FUNDI SAA AILEBANWA NA MLANGO...

Hahahahaa, mkuu hapo hukawii kujitungia swali. Kuna jamaa mmoja tulisoma naye pepa ilimtoa mwanzo mwisho. Kilichofuata ni jamaa akajitungia maswali yake na kisha akayasolve vizuuuri.

Kuja kurudishiwa pepa, ticha kamuuliza. Akamwambia sasa ticha hivyo nilivyoaolve ndo nilivisoma, na wewe hjjatoa niliposoma. Si ningepata zero, nimfanya hivyo ili uone namna ulivyonipiga chenga.

Watu wote tuliangua vicheko, mwalimu akampa 20%
 
Hahahahaa, mkuu hapo hukawii kujitungia swali. Kuna jamaa mmoja tulisoma naye pepa ilimtoa mwanzo mwisho. Kilichofuata ni jamaa akajitungia maswali yake na kisha akayasolve vizuuuri.

Kuja kurudishiwa pepa, ticha kamuuliza. Akamwambia sasa ticha hivyo nilivyoaolve ndo nilivisoma, na wewe hjjatoa niliposoma. Si ningepata zero, nimfanya hivyo ili uone namna ulivyonipiga chenga.

Watu wote tuliangua vicheko, mwalimu akampa 20%
 
mzee nilikua naipenda physics mpaka watu wakanita Mudyton walijua nina undugu na Newton. Yaani kuna maswali magumu ya physics kwenye kitabu cha university physics (UP) watu walikua wanayawekea vidoti, mimi ndio nilikua naviondoa hivyo vidoti. wakanipa jina mzee wa kuondoa vidoti. Yaani nikikumbuka physics ya advance ilikua raha sana. matopic kama heat, wave, static na current electricity, electronics. full mzuka.

Mkuu, mtu aliye soma Advanced Level Physics utamjua tu!!
 
Hakuna cku nilifurqhi kusoma phyz kama cku Ticha alijichanganya kuleta pepa la mock ilipita pepar 2 niliyapiga yoote ipasavyo ,ticha akaona uchungu kinipa 100 akanipa 98 eti kulinda heshima yake but still nilionekana newton and Faraday put together class kwetu.Shikamoo Ticha Dullah muheza high school
98%physics????
 
Back
Top Bottom