Duniaze
Senior Member
- Feb 27, 2013
- 148
- 23
weeeeeeeeeee ELECTROMAGNETISM NI TATAIZO LA MOYO WANGU.Hivi in topic gan ya physics uliyosoma form 5 na 6 ukiisikia ikitajwa hata kama ni ndotoni unakurupuka kwa kiwewe!!!!
weeeeeeeeeee ELECTROMAGNETISM NI TATAIZO LA MOYO WANGU.Hivi in topic gan ya physics uliyosoma form 5 na 6 ukiisikia ikitajwa hata kama ni ndotoni unakurupuka kwa kiwewe!!!!
Hakuna cku nilifurqhi kusoma phyz kama cku Ticha alijichanganya kuleta pepa la mock ilipita pepar 2 niliyapiga yoote ipasavyo ,ticha akaona uchungu kinipa 100 akanipa 98 eti kulinda heshima yake but still nilionekana newton and Faraday put together class kwetu.Shikamoo Ticha Dullah muheza high schoolProjectile, ilikuwa ukifundishwa unaelewa vizuri sana, sasa maswali kwenye mtihani hatari, unakuta swali lina assumptions kama 3 hivi ndio ufanikiwe kulifanya. Yani kuna aina ya maswali kama hukuwahi hata mfano wake na assumptions zake HUPATI kabisa.
weeeeeeeeeee ELECTROMAGNETISM NI TATAIZO LA MOYO WANGU.
I hate Rotational Dynamics to death...Hivi in topic gan ya physics uliyosoma form 5 na 6 ukiisikia ikitajwa hata kama ni ndotoni unakurupuka kwa kiwewe!!!!
Topic tamu hii..DaahElectronics
Topic tamu hii..Daah
Nilikuwa napenda kuchora zile Electronics Gates..
Hakuna cku nilifurqhi kusoma phyz kama cku Ticha alijichanganya kuleta pepa la mock ilipita pepar 2 niliyapiga yoote ipasavyo ,ticha akaona uchungu kinipa 100 akanipa 98 eti kulinda heshima yake but still nilionekana newton and Faraday put together class kwetu.Shikamoo Ticha Dullah muheza high school
Electromagnetism, mechanics. Nadhani 70% ya topic za Physics zilikua kichomi. Mungu mkubwa sijui nilipataje E. Nilijua safari yangu ya elimu iliishia form six. Nijiona genius baada ya kusoma PCM na nikaenda chuo. Maana mtoto wa kike afu sistaduu haikua rahisi saba


wewe nawe hukuona vitu virahisi vya kusoma mpaka ukaenda kujitumbukiza katika hii shubiri ya duniani.?
![]()
![]()
Hahahaahahahaa. Sikua na option. History ilinishinda sababu ya muandiko. Science ndo pekee ningeweza kusoma. Ila PCM niliinyooshea mikono. Ukisoma unaelewa. Nenda kwenye pepa. Kila kitu unakiona kipya.
HEEE!!! E KABISA NA UNAMTAJA MUNGU...MIE NLIJIPATIA B NA WALA SIKUMBUK TOPIC ATA MOJAElectromagnetism, mechanics. Nadhani 70% ya topic za Physics zilikua kichomi. Mungu mkubwa sijui nilipataje E. Nilijua safari yangu ya elimu iliishia form six. Nijiona genius baada ya kusoma PCM na nikaenda chuo. Maana mtoto wa kike afu sistaduu haikua rahisi saba