Wale tuliofanya applications Kwenye NGO’s hivi karibuni

Eli24

Senior Member
Jan 1, 2018
165
361
Ndugu zangu wana JF habari za kazi, Poleni sana na Majukumu ya leo, Ngoja niende moja kwa moja kwenye uzi nakuja mbele zenu kwa wale tuliofanya application Kweny international non-governmental organization Kama vile AMREF, ICAP, IMA world Health, JPHIEGO, world vision, care international etc nyingineeee kibao. Swali la kiuzushi Ndugu zangu tayar mmeitwa kwenye interview hv karibuni (September)kwa hayo mashirika tajwa na kama mmeitwa wats your experiences regarding the interview and organization in general maana hata mim nmetupiamo vi application hv karibuni ndo nackilizia kama nitaitwa au la, Hebu mwagikeni hapa wengine tupate uzoefu wa kuitwa kwenye interview na international organization
 
Mkuu baadhi ya hizi NGO ni kichefuchefu na upuuzi mtupu. Kwa mfano mimi nilifanya application pale IMA World Health, lakini kitu cha ajabu nikapigiwa simu na mtu anayejitambulisha kama HR akaniambia wanataka maji ya kunywa, kwahiyo niwatumie laki moja ili niitwe kwenye interview. Nikaona hawa kumbe wapuuzi tu.
 
Mkuu baadhi ya hizi NGO ni kichefuchefu na upuuzi mtupu. Kwa mfano mimi nilifanya application pale IMA World Health, lakini kitu cha ajabu nikapigiwa simu na mtu anayejitambulisha kama HR akaniambia wanataka maji ya kunywa, kwahiyo niwatumie laki moja ili niitwe kwenye interview. Nikaona hawa kumbe wapuuzi tu.
Haaaa uwiiiii
 
Mkuu baadhi ya hizi NGO ni kichefuchefu na upuuzi mtupu. Kwa mfano mimi nilifanya application pale IMA World Health, lakini kitu cha ajabu nikapigiwa simu na mtu anayejitambulisha kama HR akaniambia wanataka maji ya kunywa, kwahiyo niwatumie laki moja ili niitwe kwenye interview. Nikaona hawa kumbe wapuuzi tu.

Poleee sana kiongoz....mim wakija kwangu nitawachoma PCCB kwanza nina stress ya Ajira halafu mtu aje nipaaa hzo mambo namchomaa tu ili wote tukaee kitaaa tu
 
Ushauri wangu, kama wewe ni mtu wa ideas tafuta NGO iliyojichokea humu humu Tz ukafanye nao kazi, ila muhimu iwe imesajiliwa. Achana na kuwaza kulipwa wewe nenda kafanye project yako.

Muhimu work hard katika kiwango chako cha ju kabisa push idea yako. How uta wa convs is up to you!, as long uko educated utajua namna ya kucheza nao tu.

Au kama hiyo ngumu kasajili NGO yako then fanya mambo japo itakuwa kazi sana kuliko ukitumia njia ya kwanza.

Mimi ni hayo tu mkuu.
 
Wanakuuliza when u ll b available. Ila ukishwaambia wanakaa kimya
 
Mkuu baadhi ya hizi NGO ni kichefuchefu na upuuzi mtupu. Kwa mfano mimi nilifanya application pale IMA World Health, lakini kitu cha ajabu nikapigiwa simu na mtu anayejitambulisha kama HR akaniambia wanataka maji ya kunywa, kwahiyo niwatumie laki moja ili niitwe kwenye interview. Nikaona hawa kumbe wapuuzi tu.
mimi hii ishawai nitokea
 
kuwa mvumilivu,pia jaribu kuomba sehemu mbalimbali ili uwe na chance kubwa ya kufanikisha malengo yako
 
Back
Top Bottom