manerick
Member
- Aug 31, 2013
- 61
- 32
Ni mshangao. Kuna waliotumbuliwa hata kwenye majukwaa ya mikutano ya kisiasa, au hata kuagizwa kuchunguzwa.Kiukweli huyu ni mpakwa mafuta!
Huko nyuma tumeshuhudia baadhi ya wateule wa rais wakitumbuliwa kwa fedheha kubwa baada ya kuteleza kidogo tu ktk utendaji wao.
Lkn huyu mpakwa mafuta kakwepa kodi halafu anaambiwa tu kirahisi rahisi kwamba alipe kodi.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app