Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,126
Kweli kabisa sijui kwanini hawajapata mbadala mpaka sasa!Haha ni mbaya mno, yan me mtu akiniambia tu eti yupo kule kwenye nyama nabaki kumshangaa tu...
Kweli kabisa sijui kwanini hawajapata mbadala mpaka sasa!Haha ni mbaya mno, yan me mtu akiniambia tu eti yupo kule kwenye nyama nabaki kumshangaa tu...
Jamani Mnazareth kijiwe kipya cha kitimoto hapa dar vip?Hahah ugeni ulichangia sana,
Nikija tena sitafanya huo upuuzi
Yule jamaa hakoseiNani ameshawahi kwenda Chekfile africana
Ana ribs za kufa mtu
Kilo inaanzia 11k-13k kulingana na eneo husika hasa maeneo yetu ya mtaani. Waweza pata ya kukaanga,roast,makange nk. Yaweza liwa pamoja na chochote ila yafaa zaidi kwa ugali ama ndizi choma.kiti moto ni haramu-najisi (HARMFUL)
Mwisho mbaya wa walao nguruwe katika Biblia
14Wakati mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia,
nanyi mtastawi kama majani;
mkono wa Bwana utajulikana kwa watumishi wake,
bali ghadhabu yake kali
itaonyeshwa kwa adui zake.
15Tazama, Bwana anakuja na moto,
magari yake ya vita ni kama upepo wa kisulisuli,
atateremsha hasira yake kwa ghadhabu kali,
na karipio lake pamoja na miali ya moto.
16Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake
Bwana atekeleza hukumu juu ya watu wote,
nao wengi watakuwa ni wale
waliouawa na Bwana.
17 Watu wote wanaojiweka wakfu na kujitakasa wenyewe ili kwenda bustanini,
wakimfuata aliye katikati ya wale ambao hula nyama za nguruwe na panya pamoja
na vitu vingine vilivyo machukizo, watafikia mwisho wao pamoja, asema Bwana
Isaya 65
- Marejeo: Isaya 66:14-17
- Imechapishwa: 18/01/202
1 Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; naliliambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,
2 Nitazameni, nitazameni. Mchana kutwa nimewanyoshea mikono yangu watu walioasi, watu waendao katika njia isiyo njema, wakifuata mawazo yao wenyewe;
3 watu wanikasirishao mbele za uso wangu daima, wakitoa dhabihu katika bustani zao, na kufukiza uvumba juu ya matofali;
4 waketio kati ya makaburi, na kulala katika mahali pao pa siri; walao nyama ya nguruwe, na mchuzi wa vitu vinichukizavyo u katika vyombo vyao;
5 watu wasemao, Simama peke yako, usinikaribie mimi, kwa maana mimi ni mtakatifu kuliko wewe; watu hao ni moshi puani mwangu, moto uwakao mchana kutwa.
SanaaYule jamaa hakosei
Hivi yy na kazimoto nani zaidi?Yule jamaa hakosei
Huyo mtu hatari ila hatishi sana....Nani ameshawahi kwenda Chekfile africana
Ana ribs za kufa mtu
Kwani we mpaka leo hujaenda tu huko Kazimoto!?!?Hivi yy na kazimoto nani zaidi?
4 Aliingia Hekaluni, akachukua ile mikate ya madhabahuni -ambayo huliwa na makuhani peke yao -akala, kisha akawapa na wafuasi wake wakala!” 5 Akaongezea kusema, “Mimi Mwana wa Adamu ni Bwana wa sabato.”17 Watu wote wanaojiweka wakfu na kujitakasa wenyewe ili kwenda bustanini,
wakimfuata aliye katikati ya wale ambao hula nyama za nguruwe na panya pamoja
na vitu vingine vilivyo machukizo, watafikia mwisho wao pamoja, asema Bwana
Isaya 65
- Marejeo: Isaya 66:14-17
- Imechapishwa: 18/01/202
Panaitwaje hiyo sehemu Arusha?Mkuu Rudi's Farm wanakalishwa mara mia
Wana aina tofauti za mapishi,sasa kuna kitimoto inaitwa Bombay mama yangu unaweza uza shamba
Na kilo ni 12 elfu tu
Wakuu msipime!
Sent using Jamii Forums mobile app
He he sijaendaKwani we mpaka leo hujaenda tu huko Kazimoto!?!?
Jina sijuiPanaitwaje hiyo sehemu Arusha?
Ni wapi hapo mkuu?Aisee Safari resort narudi tenaa Mdudu choma achanaa naeee
Ukuje bana, nataka vijiwe vipywStay Tuned.....nakurudia
Ni wapi hapo mkuu?