Walahi nime mblock yule mwanamke

Walahi nime mblock yule mwanamke

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,884
Reaction score
14,578
Nilikuwa namheshimu sana hasa kwa ushauri wake wa mambo ya fedha na uwekezaji.

Kiumri anaweza kuwa kama binti yangu,

LAKINI

Kwa ule upuuzi na ile sumu aliyoisambaza kwa wanawake wenzie,,,waaalaaahi bilaahi nimemdilitia mbaali na kumblock kila pahala.

Chap kwa haraka nafasi yake nimemuweka mjukuu wangu,,,ambae kwao nilisha sukuma truck kwa muda,,,SCANIA 113.
 
Nieleweshwe tafadhali! Kwamba Haika alikuwa mshauri wako umemblock kila mahala, sasa hivi umemuweka mjukuu wako yupi sasa, ambaye kwao ulikuwa dereva kwa muda?
 
Nieleweshwe tafadhali! Kwamba Haika alikuwa mshauri wako umemblock kila mahala, sasa hivi umemuweka mjukuu wako yupi sasa, ambaye kwao ulikuwa dereva kwa muda?
Hakuwa mshauri wangu,,,,bali kama mtu mzima nilikuwa navutiwa na mitazamo yake kiuchumi kwani niliona ni ushauri ufaao kwa watafutaji hasa vijana,,,,kwa sasa ninaye mfollow ni mjukuu ki umri lakini sina nasaba nao,,,zaidi nilifanya kazi kwa baba yake miaka ya tisini,,,kwa muda mfupi sana,,,Njiwa Hardware....
 
Hakuwa mshauri wangu,,,,bali kama mtu mzima nilikuwa navutiwa na mitazamo yake kiuchumi kwani niliona ni ushauri ufaao kwa watafutaji hasa vijana,,,,kwa sasa ninaye mfollow ni mjukuu ki umri lakini sina nasaba nao,,,zaidi nilifanya kazi kwa baba yake miaka ya tisini,,,kwa muda mfupi sana,,,Njiwa Hardware....
Hapo umeeleweka!
 
Lazima tukubali kupokea mawazo mbadala, nje ya mitazamo yetu au fikrq zetu.

Ili umjue mwanamke, ni pamoja na kusikia mitazamo, fikra, jumbe, jinsi wanavyotuona.

Tushajua walivyokuwa bustani ya Heden hawakuongea na nyoka kuhusu kula tunda ila kingine ni ubinafsi uliopitiliza.

Na hii ndio ya shetani aliye kamili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom