Wala simpi pole Maxence, nampongeza sana

Wala simpi pole Maxence, nampongeza sana

najua tofauti na mawazo ya wengi humu mimi ni mkristo mkatoliki tena wa itikadi kali.
baada ya kukaa na kutafakari kwa siku kadhaa juu ya kilichompata mpendwa wetu maxence nimeamua kubadili msimamo wa kumpa pole hadi kumpongeza maxence
nimeamua kumpongeza maxence kwakukubali kuteswa kunyanyaswa kupigwa nk kwaajili ya wale watanzania maskin,wajinga,wanyonge,yatima,malofa,wagonjwa,vilema,wenye njaa walioko chato, biharamulo, mpanda, bahi nk. kwakuwa jamiigorums imekuwa mstari wa mbele kufichua uovu dhuluma dhidi ya makundi haya .hivyo malipo ya kipekee atakayoyapata ni toka kwa roho mtakatifu. maxence usikate tamaa mungu hatokuacha kwenye makao yake ya milele yaliyopangwa na yeye mwenye nguvu.mimi leo navunja ratiba zote nitakuwa kisutu nimevaa shati la mikono mirefu na mistari mistari nitakunja mikono ya shati.hii ni hatua ya mwanzo ya kila mwenye kutaka kwenda mbinguni lazima lazima aipitie na leo tunashuhudia maxence akiipitia.




na kwakujiamini nasisitiza nitakuja na alteeza
the good thing ni kwamba watu humu hawaangalii title ni tu basi huwa wanaangali content..., watu walishaanza kukutupia mapovu live.., ila dah hata mm ni mmoja wao.
 
Chotera wa mkaya utawajuwa ukigusa wilaya zao [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Mmesahau na kwetu Shirati, Tarime, Nyamongo, Sirari, Utegi, Bunda, Butiama, Musoma ,Kinesi etc tuko pamoja dhidi ya dhulma
Issenye, Iseresere, Nyankomogo, Majimoto, Ngoreme, Kitaramanka, Mugumu, Rwamkoma, Bumangi, Makutano, Buhemba, Ushashi, Tairo n.k.
 
Watanzania waliopo Ngara, Chato, Geita, , Kasulu, Kahama, uvinza, Kibondo, kakonko, bahi , kondoa , manyoni, itigi, Shelui, Igunga, Nzega, Didia lohumbo, ushetu, chambo, mlele, sikonge, Urambo, Tabora, nkwenda, mubira , kaisho, Benako, ushirombo, Bukombe, tukuyu, mwakareli, , Makongorosi, chunya, kyela, chimara, Mbeya, Iringa, Makete, Mafinga, ifunda, Tosa, makambako,
list nzuri hii
 
Kwa hiyo heading lazima mtu ufungue huu uzi hata kama una roho ya nyau
 
Kuna watu wanabahati zao,


Isinge goma ningejilaumu baadae

Nimetoa mshale wangu kuuweka kwenye uponde ukagoma, kuangslia kumbe ndugu yangu.

Unabahati sana aseee

Kichwa kidogo kikuponze
 
Weka picha yako hapa mkuu.
the description of your shirt isn't enough for me. teh teh
Jason%20Thomas.jpg
 
Siku nyingine usiandike jina la Bwana kwa herufi 'm' ndogo!! Inaudhi sana. Wenyehaki tutashinda
 
Kazi ya Bwana Yesu hiyooo. Ilikuwa ni kutetea Wanyonge. Viongozi Wa Dini tunawategemea nyie.Wana CCM pia tunawategemea nyinyi kukana Ubeberu unaofanywa chini ya Chama cha Mapinduzi. . Tujitokezeni kwa Wingi kupinga Ukandamizaji wa aina yeyote katika Taifa letu tukufu. Turudisheni na kudumisha Ubinaadamu Tanzania.
Maombi Mengi yafanywe hata ukiwa hapo nyumbani.
Turudishe Ubinaadamu Katika Bara letu. Ubinaadamu Kwanza.

Mwenyezi Mungu Atuongoze na Atulinde. Ameen.

726219c5bbcacdc6f6a306a39a06023a.jpg
 
mwalujo,nyamatala'mwashilalage, nyakibimbili,bugengele,mwamashimba, fukalo,mwakilyambiti,maligisu,katera,igomanoni,kilimilile,mwemage,manguanjuki,nyang'wale,puge,kintinku,ilongero,kyengege
 
Kazi ya Bwana Yesu hiyooo. Ilikuwa ni kutetea Wanyonge. Viongozi Wa Dini tunawategemea nyie.Wana CCM pia tunawategemea nyinyi kukana Ubeberu unaofanywa chini ya Chama cha Mapinduzi. . Tujitokezeni kwa Wingi kupinga Ukandamizaji wa aina yeyote katika Taifa letu tukufu. Turudisheni na kudumisha Ubinaadamu Tanzania.
Maombi Mengi yafanywe hata ukiwa hapo nyumbani.
Turudishe Ubinaadamu Katika Bara letu. Ubinaadamu Kwanza.

Mwenyezi Mungu Atuongoze na Atulinde. Ameen.

726219c5bbcacdc6f6a306a39a06023a.jpg
kila mwenye pumzi na amsifu bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom