mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 954
Umetuvuta tusome sipo intersted na content yako lakini jinsi ulivyonishawishi tu
Hapana mkuu, yuko sahihi kabisa. Hata Sheikh Ponda alipomtembelea Lema alisema hivyo hivyo, "sikuja hapa kukupa pole bali kukupongeza".Duuuu kichwa cha thread kinakinzana na content ......
Taratibu mkuu, angalia siku nyingine usije ukaua bure!Weweeee! una bahati,nilikuja nimeshika panga...
Wewe unalala asubuhi? Au uko Marikani nini!Umeshamaliza? aya kojoa ukalale
Sengerema, misungwi, Maswa, Bariadi , tinde,
Chotera wa mkaya utawajuwa ukigusa wilaya zaoTatizo ni hizo gongo ulokunywa asubuhi hii ndyo inakupa uchizi kutaja taja wilaya.
Temeke, kinondoni, ilala , Kibiti, Lindi na kadhalika huko kote watanzania wanauhitaji serikali lazima ipeleke Huduma za msingi huko
Ha ha ha ha ha.....mkuu hata Mimi nimeifunguabkwa ghadhabu hii kitu, kwa kweli kwa Mara ya kwanza ningekula ban humu JF.Bahati yako...ungeongea sh't ndo ungetutambua.
amina mkuuMkuu Falcon Mombasa, Mungu akubariki sana.
Watanzania walioko,Kyansenene,kabare,kyarugabo,katikabutale,kyamalebe,kabutaigi,biirabo,bugarama,kihumulo,Ngenge na lwigembe,kamishango,Buhata,bushekya,Itongo,bunyagongo,Mubunda,kyamyorwa nk.Ubaruku, mbarali , Mbozi, chamwino, ukerewe, , Buhongwa, Arusha, Babati, simanjiro, Mang'ola barzani na gorofani, same, kibosho, mwanga,
Weweeee! una bahati,nilikuja nimeshika panga...
Hiyo ndo sifa ya uandishi Mimi niliwahi kununua gazeti LA ccm jina nimelisahau title tu iliniponza lakini nilichokikuta ndani nilitamani kulirudishaUmetuvuta tusome sipo intersted na content yako lakini jinsi ulivyonishawishi tu