google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,668
- 13,868
Itakuwa maana maabara kazi kibao hazijafanyiwa upembuzi yakinifulabda kajiopolea moja kimasihara sasa anakula bata mahali kimya kimya
Jr![]()
Hivi hata sisi wala miguu ya kuku,firigisi,na vichwa vya kuku ni wala bata?
Sent using Jamii Forums mobile app

Hii mizigo ukipata pilipili nzuri unatafuna zote hizo,hutupi kitu
Sent using Jamii Forums mobile app

Da kwa jinsi navyopenda vyundu nateseka sana



tukistaafu gambe unataka tuwe walozi?
Me ndo naanza darasa la kwanza ,watu mnapiga ulanzi si mstaafu bata mtuachie sisi
Sent using Jamii Forums mobile app
