Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,688
- 2,981





Humu tunaruhusiwa wazee wa chimpumu kangara kindi chamu komoni na mnazi miksa ndumu a.k.a bange![]()
Sent using Jamii Forums mobile app





Humu tunaruhusiwa wazee wa chimpumu kangara kindi chamu komoni na mnazi miksa ndumu a.k.a bange![]()



Asante saana kwa picha uliyoambatanisha picha iliyonichangamsha.Kiukweli Mshana Jr, huwa namfikiria sana kuwa multi purpose humu JF!
Sent using Jamii Forums mobile app



Mwendo wa kuchagua tu. When you fly priority class, these are some of the benefits in the waiting lounge.View attachment 1328015
Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe subiri za ahera sisi twazianzia hapa hapa duniani maana ahera kwaenda hesabu tu.Mkumbuke kuna ahera....
Huyu lazima ajikane kuwa sio yeye. Anaweza sema alitekwa na vibaka kumbe alifakamia yokozuna mchanganyiko na veve


Wewe subiri za ahera sisi twazianzia hapa hapa duniani maana ahera kwaenda hesabu tu.
Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaha, kijana kumbe uko vzr , msimu wa 2020 huu wasiojulikana wako kaziniJr anatumika na wasio julikana, anawaingiza mkenge muweke picha hafu muanze kukimbizana bila mpangilio.
Alisikika mlevi mmoja...

Hazifungwi
Jr![]()
Em tulia kwanza....😥😥😥😥😥😥 kwani leo tar ngapi
Nitoe basi nikagongee veve
Jr![]()