Wakwepa kodi wakubwa hawa hapa

Mkubwa Jipange Hiyo serial Uliyotaja ifute kaka,wata-trace serial hiyo imetumika na namba gani then watakuja kuangalia Namba imesajiliwa Kwa jina gani then it is easy kukujua na kudeal na wewe kwa kuwachafulia!!!! Jipange
 
Mkubwa Jipange Hiyo serial Uliyotaja ifute kaka,wata-trace serial hiyo imetumika na namba gani then watakuja kuangalia Namba imesajiliwa Kwa jina gani then it is easy kukujua na kudeal na wewe kwa kuwachafulia!!!! Jipange
<br />
<br />
Mwambie uyo! Noma! Watakula nae sahani moja mpaka wazae nae, labda awe mtu wa pale st peters kwenye gorofa jipya lenye shape kama ya eagle!
 
Jamani watanzania katika topic hii tuanze kuweka taharifa za ukwepaji kodi kwenye thread hii ili wananchi watambue tunaibiwa kiasi gani na TRA ni wazembe kiasi gani, kwa kuanza tu<br />
<br />
<br />
<b>1.kuna duka moja ukonga la abdalah hussein halitoi risiti kwa wateje<br />
<br />
2.kampuni ya airtel wanakwepa kulipa kodi kwa kuendelea kutumia vocha za zain ambazo muda wake umeisha(expiry) kwa mfano mimi nimetumia vocha serial no 3101115057667 ambayo inaonyesha expiry muda wa kuisha matumizi ni 31-o1-2011 hii inamaana vocha hii haiko kwenye control yeyote ya TRA<br />
</b>
<br />
<br />
usiogope maneno ya watu, be patient. In case of anything watetezi tupo
 
Mkubwa Jipange Hiyo serial Uliyotaja ifute kaka,wata-trace serial hiyo imetumika na namba gani then watakuja kuangalia Namba imesajiliwa Kwa jina gani then it is easy kukujua na kudeal na wewe kwa kuwachafulia!!!! Jipange

usijali kwani nina stock nyingi sana za ushahidi na kama wakitaka watangulie mahakamani ,kama wakiwa fiti wanaweza kuanzisha mashambulizi na hizo vocha za zain ninazo na ninaendelea kuwa na ushahidi nazo na nazitumia mimi pia ila nashangaa kwanini vyombo husika vimelala. na kama wakifunga line yangu ya simu basi nitawapeleka mahakamani
 
kaka hapa sio kuwa tuna taharifa zote bali yeyote mwenye taharifa anaziweka ubaoni hapa kama una taharifa yeyote karibu iweke ubaoni

Hivi hapo kwenye red hicho ni kiswahili au ni kilugha?

Yaani mkuu unaishia kutaja kiduka tu na hiyo kampuni moja uliyokuwa umeilenga? Umetuambia kuwa wakwepaji kodi wakubwa hawa hapa tukafikri labda na wewe umekuja na list of shame, kumbe uchuro mtupu! Kama hamna taarifa ni bora ukajinyamazia mkuu siyo kukaa unaongeza post hata zile zisizokuwa na kichwa wala miguu!!
 
Hivi hapo kwenye red hicho ni kiswahili au ni kilugha?

Yaani mkuu unaishia kutaja kiduka tu na hiyo kampuni moja uliyokuwa umeilenga? Umetuambia kuwa wakwepaji kodi wakubwa hawa hapa tukafikri labda na wewe umekuja na list of shame, kumbe uchuro mtupu! Kama hamna taarifa ni bora ukajinyamazia mkuu siyo kukaa unaongeza post hata zile zisizokuwa na kichwa wala miguu!!

nitalifanyia marekebisho mkuu si unafahamu matatizo ya kufanya kitu bila editing pia kiswahili ni lugha ngumu sana ila nitalifanyia kazi tatizo ulilolisema

kwa upande wako changia kwa kuonyesha namna yeyote ya mtu au taasisi inavyokwepa kodi
 
Wakusanyaji kodi wasisahauliwe , nao walipe kodi ikiwa hakuna njia ya kuzuia ufisadi wao.!! - hawa ndio wana pato kubwa bila ya mtaji au gharama zozote. Wanapata kuliko hao wafanya biashara.
 
hapo Samora kuna duka la mhindi limepakana na duka la Magereza hufunguliwa kimachale machale<br />
<br />
mchana kuanzia saa 7 ndio linakua wazi<br />
<br />
na anafungua baada ya muda kidogo afunga, then ikipita muda kidogo afungua tena<br />
<br />
<b>madalali </b>wote nchini hawalipi kodi
<br />
<br />
MASHARTI YA MGANGA
 
Hivi hapo kwenye red hicho ni kiswahili au ni kilugha?<br />
<br />
Yaani mkuu unaishia kutaja kiduka tu na hiyo kampuni moja uliyokuwa umeilenga? Umetuambia kuwa wakwepaji kodi wakubwa hawa hapa tukafikri labda na wewe umekuja na list of shame, kumbe uchuro mtupu! Kama hamna taarifa ni bora ukajinyamazia mkuu siyo kukaa unaongeza post hata zile zisizokuwa na kichwa wala miguu!!
<br />
<br />
I HATE WATU WANAWEKA H SEHEMU ISIYOHUSIKA,SIJUI NI UKILAZA AU NINI
 
hapo Samora kuna duka la mhindi limepakana na duka la Magereza hufunguliwa kimachale machale<br />
<br />
mchana kuanzia saa 7 ndio linakua wazi<br />
<br />
na anafungua baada ya muda kidogo afunga, then ikipita muda kidogo afungua tena<br />
<br />
<b>madalali </b>wote nchini hawalipi kodi
<br />
<br />
 
Back
Top Bottom