WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
...ok!
wos, kwenye familia yangu tuna sicklers na diabetics wengi tu. Hicho ni kigezo cha kutunyima wakwe?
sidhani ni kigezo..ila disclosure ni muhimu.
...ok!
wos, kwenye familia yangu tuna sicklers na diabetics wengi tu. Hicho ni kigezo cha kutunyima wakwe?
ukiwa na sifa na wazazi wanakuzuia kutokana na umaskini ulio nao kwa mfano binti kwao mambo safi dawa na kupiga vitu binti awe mjamzito kisha unakabidhiwa bureeeeeee.
wengine wenye misimamo mikali wako radhi watunze binti na mjukuu ila wewe no!
Mkuu Fidel hiyo nayo imetulia kama wanaleta mlolongo wazazi..Unapiga kitu unatulia kama sio wewe vile wenyewe watakufuata...Hahaaaa you make me laugh today
Wenyewe mkipendana, hakuna atakayeweza kuwaachisha, awe mzazi au mkwe. Watagoma mwanzoni lkn wakishaona msimamo wenu wenyewe watakubaliana na nyie.
...unauchukuliaje msimamo baba mkwe au mama mkwe anapokataa kata kata binti yake asiolewe na fulani, au mwanawe (wa kiume) asimuoe fulani.
...ni sahihi kwa wachumba hao kuoana bila ridhaa ya mzazi/wazazi hao?
...kwa experience yako, nini 'repercussions' za maamuzi hayo?
VIPIMO...Bonnie1974, picture yourself ukiwa ni mzazi, halafu anamleta mchumba ambaye yeye anaamini anamfaa kuwa wake wa maisha.
...ni vipimo gani utatumia kujua kweli wapo serious kwenye mahusiano yao na kwamba huyo mwenza anafaa kuwa mkweo, atayekujaalia wajukuu?